babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,182
Maybe !Ila SIO kama unavyo nichukuliaSeems like hauna unachojua ndio maana unaandika uliyoandika.
Up your game baby.
Maybe !Ila SIO kama unavyo nichukuliaSeems like hauna unachojua ndio maana unaandika uliyoandika.
Up your game baby.
Kwani aporae Kwa kutumia silaha huko lumumba mnamwitaje manka? Au jambazi huko lumumba mnamwita malaika mlinzi? Sishangai Kwa utetezi wako kwani nawe ni mmoja wao mnaojificha huko ccm! Siku zako zahesabika na huenda zisitimie arobaini!Hilo la jambazi unalisema wewe siyo mahakama!
Baada ya jambazi kumaliza kutumikia hukumu yake ya miaka 30 na mingine ambayo hajahukumiwa kumhusu rushwa! Una awali lingine?Hukumu ya gaidi lini?
Hapo usikute alimtaka kinguvu. Mwakani tu ashapata bwana mwingine.Mrembo kama huyu ndy unamuacha nje
Hapo sasa ndy tutaona msimamo wa mwanamke
Kwa mwanaume
Ova
Inaonekana laini lainiBwana eh Acha tu
Ova
Hili ni fundisho,wenye mamlaka msiwe mnatumia madaraka vibaya kwa visingizio vya kutekeleza amri ya mamlaka ya uteuzi au aliye juu.Wanajukwaa poleni kwa kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa Taifa letu,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Bila shaka baada ya Hukumu ya Lengai Ole Sabaya kuhairishwa tarehe 1/10/2021 ilipangwa kwamba itatolewa leo. Hivyo tuelekeze masikio yetu katika viunga vya mahakama.
=======
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili leo Ijumaa Oktoba 15, 2021 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
Hakimu mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Amalia Mushi aliahirisha hukumu hiyo Oktoba Mosi, 2021 baada ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo, kutokamilisha kuandika hukumu hiyo.
Agosti 24 mwaka huu, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu na Daniel Mbura walikamilisha kujitetea mahakamani hapo baada ya Jamhuri kukamilisha mashahidi 11 na vielelezo vinane.
Sabaya alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Juni 4, mwaka huu baada ya kukamatwa Mei 27 wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Chanzo: Mwananchi
UPDATE: MAHAKAMA YAMKUTA NA HATIA OLE SABAYA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemkuta na hatia Lengai Ole Sabaya na wenzake katika kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha.
Mahakama ilimpatia nafasi Ole Sabaya ajitetee(Shufaa) kwanini asipewe adhabu kali naye aliiomba Mahakama imuonee huruma kwani si yeye bali alikuwa anatekeleza amri ya mamlaka ya uteuzi, pia ameomba mahakama imuonee huruma kwani ana mchumba anayetegemea kufunga naye ndoa na mahari ameshalipa.
UPDATE: SABAYA NA WENZAKE MIAKA 30 JELA
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wamehukumia na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha.
WASIFU WA OLE SABAYA
Lengai Ole Sabaya amezaliwa 26/12/1986 mkoani Arusha. Amesoma Shahada ya Sayansi katika Elimu Chuo Kikuu cha Mtakatifu John Dodoma (St. John University).
Ole Sabaya aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) Mkoa wa Arusha na pia aliwahi kushika wadhifa wa Udiwani katika kata ya Sambasha Wilaya ya Arusha Mjini mwaka 2015.
Ole Sabaya aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro tarehe 28 Julai 2018 ya aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano, Hayati John Pombe Magufuli.
Sabaya alitenguliwa nafasi hiyo ya ukuu wa Wilaya ya Hai tarehe 13 Mei 2021 na Rais Samia Suluhu Hassan ili kupisha uchunguzi wa makosa yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo unyang’anyi wa kutumia silaha. Tarehe 15 Oktoba 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha imemhukumu Sabaya na wenzake kifungo cha miaka 30 jela.
Hukumu ya gaidi lini?
Huyu sasa ahesabike ni mjane. Yeyote ana haki ya kumwoa.Mada ndefu sana ila hakuna anaeuliza picha ya mchumba wa sabaya View attachment 1975436View attachment 1975437
Acha kuwachafua wanajeshi wetu mpuuzi wewe, wakinukishe kivip??Mbowe anafungwa tuombe tu Mungu na tuendelee kuwepo
Hukumu ya sabaya hii 30 na bado ana kesi nyingine je akiukumiwa Tena 30 maana yake 60 hapa Kuna harufu ya siasa .
Aliokuwa akifaya nao Kazi wamemzunguka na kumtosa!!
Ila nawashauri msije kujaribu kumfunga Mbowe kitanuka street wajeda lazima watakinukisha tu!!
Nikisoma post zako kwenye huu uzi kabla ya hukumu nabaki kucheka tu, bwashee umeumia sana kwa hii hukumuDuh.....siku zinaenda kasi sana!
na SABAYA ameonewa na machadema.Mahakama imetenda haki ee?
Duh.....siku zinaenda kasi sana!