master peace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 1,450
- 444
Kamanda Lema msamehe BURE huyo Mura, amang'ana gasarikile. Amefanya kazi nzuri sana kwa NIABA ya CHADEMA hastahili kufikishwa mahakamani. Kamanda Msamehe bure, ameipromote sana CDM wiki hii na mtapata SYMPATHY VOTES za kutosha kwenye hizo kata nne
Mkuu inaonekana humfahamu huyu houseboy vizuri, kwanza ututake radhi, haiwezi tokea Mulongo akawa Mura, amang'ana gasarikile, kwani hatuna tabia hizo za kujipendekeza, kujikomba, kulamba viatu vya wakubwa, kuwapigia magoti wakubwa, majivuno, kiburi, ujinga, jaziba, na kutojitambua. Kwa taarifa yako akina Mura huwa tuko straight forward na hatupepesi macho wala kupindisha pindisha maneno, yaani kama ni koleo tunasema ni koleo na siyo kijiko kikubwa.
Ndugu yangu huyo Mlongo a.k.a Muongo ni akina chasugu wasu, wakondya, echinumbu na ni mtoto wa dada yake katibu mkuu wa chama cha Magambaz aliye kabidhi mikoba yake kwa Jangili la ki-mataifa.
Hopefully utakuwa umenielewa.