kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
Lazima atatimua mbio kama pale Uhasibu kaka, ni mwoga kishenzi huyu Mulongo. Utasikia yupo nje ya nchi kwa matibabu!
Kwenda mahakamani hakumzuii Lema kufanya kazi yake ya Ubunge. Tukumbuke kuwa mahakama ni sehemu ya mfumo wa utawala ubora. Kiongozi makini ana wajibu wa kusimamia utawala bora ikiwa ni pamoja na matumizi mazuri ya madaraka.
Akizungumza na
waandishi wa habari hii leo katika ofisi ya CHADEMA mkoa mbunge wa
Arusha mjini Godbless Lema ameelezea nia yake ya kumshitaki Bw.Magesa
Mulongo kwa kumtumia ujumbe wa matisho ktk simu yake ya mkononi.
Ameeleza kuwa Mulongo ametumia kila njia kutafuta simu yake ikiwa ni
pamoja na kutaka kumrubuni mke wake na pia kumtumia Mbunge wa Arumeru
mMashariki kuzungumza nao ili simu iyo iwasilishwe polisi ila
imeshindikana.
'Wanasheria wangu wapo katika hatua za mwisho kuandaa mashitaka dhidi ya
Mulongo' amedai kamanda Lema..miongoni mwa mawakili wa Lema atakuwepo
Kamanda Tundu Lissu
watu wa arusha
hatutaki lema atufanyie chochote mpaka majimbo mengine yaliyo chini ya
mkoloni mweusi yatakapo kuwa huru, tunachofanya sasa tuna export ujasiri
na kufuta uoga katika majimbo mengine.
Mkuu Mulongo Mwongo a.k.a
houseboy mwenyewe leo kakumbana na kikosi cha Lema leo wakati wa lunch
hotel moja leo Arusha halafu ghafla ikabidi aite wale mbwa wake wa
kumlinda. Sasa kama yeye mkia ma-ta-ko-ni kama mbwa koko unafikiri hao
uliowataja watathubutu kukanyaga huku leo? Nakuambia buku la Lumbumba
leo wengi watalikosa. Ha ha ha!! Chezea nguvu ya umma weye. Hawana ubabu
hawa!! Mapovu huwa yanawafoka tu hasa Daktari wao. Umemsahau
Rejao.
huyu Lema ni mjinga ameshalewa sifa, hakuna rangu ataacha ona mwaka huu, mtu huna hela halafu unasumbua watu??
Akizungumza na waandishi wa habari hii leo katika ofisi ya CHADEMA mkoa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ameelezea nia yake ya kumshitaki Bw.Magesa Mulongo kwa kumtumia ujumbe wa matisho ktk simu yake ya mkononi.
Ameeleza kuwa Mulongo ametumia kila njia kutafuta simu yake ikiwa ni pamoja na kutaka kumrubuni mke wake na pia kumtumia Mbunge wa Arumeru mMashariki kuzungumza nao ili simu iyo iwasilishwe polisi ila imeshindikana.
'Wanasheria wangu wapo katika hatua za mwisho kuandaa mashitaka dhidi ya Mulongo' amedai kamanda Lema..miongoni mwa mawakili wa Lema atakuwepo Kamanda Tundu Lissu
.....Mkuu ni kweli Kaona kama yuko ukimbizini bora asepe mapema....anajuta kwa nini aliletwa AR...ila Kilanja mdogo wa wilaya Mongela alishauri asiingie kwa pupa ...huu mji ni Mgumu ....sharti ukubaliane na mazingira....ukiitwa peoples na wewe jibu power hata kama rohoni hupendi....Kwa hiyo alikuwa anatafuta sababu ya kuondokea siyo!!!??
Bora katibu kata,uyu atakuwa housgirl wa Lumumba.....Ha! Ha! Ha! Ha! Katibu kata bhana ! Mapovu ya nini sasa ?
Haya movie lingine la mieleka lipo laivu, sasa hatufanyi kazi tena za ujenzi wa taifa, ni kupelekana mahakamani tu kwenda mbele, wacha vikao vya bunge viendelee bila ya sie kuwepo, watahudhuria wengine! Ahhh, wapo kwa mamia eeenh, hamnaga taabu.
Mahakani siyo issue, ka vipi kamanda ampotezee tu..Amshitaki kwenye "mahakama ya Umma"
jino kwa jino, ahamasishe zomea zomea ya ukweli kila atakapoonekana huyo HouseBoy...
Akizungumza na waandishi wa habari hii leo katika ofisi ya CHADEMA mkoa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ameelezea nia yake ya kumshitaki Bw.Magesa Mulongo kwa kumtumia ujumbe wa matisho ktk simu yake ya mkononi.
Ameeleza kuwa Mulongo ametumia kila njia kutafuta simu yake ikiwa ni pamoja na kutaka kumrubuni mke wake na pia kumtumia Mbunge wa Arumeru mMashariki kuzungumza nao ili simu iyo iwasilishwe polisi ila imeshindikana.
'Wanasheria wangu wapo katika hatua za mwisho kuandaa mashitaka dhidi ya Mulongo' amedai kamanda Lema..miongoni mwa mawakili wa Lema atakuwepo Kamanda Tundu Lissu