Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

Chadema kwa unafiki kila siku wanasema hawana imani na mahakama zetu leo hii tena wanataka kwenda kwenye hizo hizo mahakama.
 
Ushauri wa bure wa huyu ndugu mheshimiwa,kazi kubwa
ya mbunge ni kuchukua kero za wananchi na kuzipeleka bungeni kwa namna ya kufanya serikali izitatue,sasa hayo anayofanya ni umbulula wa hali ya juu,anapaswa aheshim wapiga kura wake,anapoteza muda tu,asubiri hukumu yake.
camoon F........u wewe ndo mkuu wa mamburura
 
sasa unazungumzia magamba ambao tayari wote twajua hawafai? Tunazungumzia hawa ambao sasa wanasema wanaweza? So kazi ya lema nini? Kwani keshafanya nini? Watoto yatima gani kasaidia? Au ni ile michango alochangisha mount meru akaingia nayo mititni? Mbona hata lema siyo tu? Hakuna kitu pale kichwani ni useless tu. Ukisema wabunge utaita lema kweli jamani?

unajifanya kushauri kumbe una chuki,na umetumwa na kilaza mwenzio kumuombea msamaha kiaina,pole sana,udhalilishaji alomfanyia kamanda lema ataulipia mahakamani,na maccm menzake yamemtosa kwani kazidi kuyachafulia upepo kwa wana wa nchi
 
Tuko pamoja nawe Mh. Lema kwa kulipeleka hili PUMBU (Gamba) Mahakamani maana amezowea kuvunja haki za Binaadamu
 
inabidi mahakama wa andae vipaza sauti kwa ajili ya mkuu wa mkoa. Hawezi kujitetea yule bila kipaza sauti.
 
ITAFAHAMIKA TU! Tutaona kati ya haki na dhuruma kipi zaidi
 
Mkuu Lema anatoa elimu kubwa kuliko hiyo zomeazomea.
Wananchi wanaamini ma DC na ma RC kama Miungu watu, wako juu ya sheria.

Mweche Lema atusafishie njia na wengine watafuata mwisho wa siku ionekane hakuna alie juu ya sheria.

Kitendo alicchofanyiwa Lema ni cha kinyama sana, maumivi yake anayajua mwenyewe na familia yake.

Lema nenda kamanda

"heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti".!!

Nimeipenda hiyo, kula "Like" moja hiyo.
 
Nachukua muda mrefu sana katika kufikiri hali ya kisiasa iliyopo nchi kwasasa lakini nabain ya kwamba kweli watanzania wameamka. Ingekua wakati ule watanzania bado tupo gizani wengi tungeshaanza kuwachukia wabunge wanaojua majukumu yao na wenye uchungu na nchi yao. Ninaposeama haya namaanisha wabunge kama vile Lisu, Mnyika, Halima Mdee, Kiwia, Msigwa na Sugu.

Lakini kutokana na watanzania kujua hali halisi baada ya kutoka kwenye kiza kizito wamelaziika kuwapenda wabunge hwa licha ya kashifa nzito wanazo pewa na CCM na hata watu flani kwa lengo la kuwachafua mbele ya macho ya Umma. Najaribu kuangalia namna ambavyo serikali na mafisadi wachache wanavyo jitahidi kumchafua mbunge wa Arusha mjini Mh Godbles Lema, kwa lengo lakuwafanya wapigakura wake kumchukia. lakini huyu ndiye chaguo la wanaarusha na MUNGU ndio maana wanazidi kusababisha Lema kupendwa.
niliamini leo nilipowaona wananchi wa Arusha wanajitokeza kwa wingi kumpa kampani Lema.
 
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure

Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa

Anayoyafanya ni muhimu zaidi kuliko ahadi alizoahidi, anajenga msingi wa Arusha kuitwa Arusha. Iko siku haya ninayoyasema utajaniambia. Hicho kichwa, naamini na ahadi zenu atafanya.
 
huyu Lema ni mjinga ameshalewa sifa, hakuna rangu ataacha ona mwaka huu, mtu huna hela halafu unasumbua watu??
 
Chadema kwa unafiki kila siku wanasema hawana imani na mahakama zetu leo hii tena wanataka kwenda kwenye hizo hizo mahakama.

chadema haijawahi kusema haina imani na mahakama zetu inasema haina imani na mahakimu au majaji wanatumiwa na ccm kupindisha sheria, hasa hizi mahakama za chini na baadhi ya majaji a.k.a voda faster(ref. mh,Tundu Lissu(MB))
 
huyu Lema ni mjinga ameshalewa sifa, hakuna rangu ataacha ona mwaka huu, mtu huna hela halafu unasumbua watu??

Rangu ndio nini tena gamba? ni lini utaacha kubugia haya mabangi yako?unajua ukisema Lema ni mjinga unatukana wapiga kura wangapi waliomchagua? hebu jiheshimu basi na ujenge hoja kama unazo??
 
Chadema kwa unafiki kila siku wanasema hawana imani na mahakama zetu leo hii tena wanataka kwenda kwenye hizo hizo mahakama.

Kwahiyo wewe ulitakaje? Utajuaje kama wamejirekebisha iwapo hujawapelekea kesi kama hii ambayo hata balozi aw nyumba kumikumi anaweza kuihukumu. Hapo tuone kujirekebisha kwao.
 
Chadema kwa unafiki kila siku wanasema hawana imani na mahakama zetu leo hii tena wanataka kwenda kwenye hizo hizo mahakama.

baba leo mlipotelea wapi? Magamba ya kobe
 
Back
Top Bottom