Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure

Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
Kwani wewe Mantisa ulitegemea Lema FANYE NINI wakati muda woote alikuwa anapambana makesi, bado tuu hawajamuacha wanamfanyia kila hila ili asitulie kufanya kazi!!!!!

 
Kamanda Lema msamehe BURE huyo Mura, amang'ana gasarikile. Amefanya kazi nzuri sana kwa NIABA ya CHADEMA hastahili kufikishwa mahakamani. Kamanda Msamehe bure, ameipromote sana CDM wiki hii na mtapata SYMPATHY VOTES za kutosha kwenye hizo kata nne
 
Kimbiza mahakamani shambaboy huyo. Akili ndogo bichwa kubwa!
 
sasa unazungumzia magamba ambao tayari wote twajua hawafai? Tunazungumzia hawa ambao sasa wanasema wanaweza? So kazi ya Lema nini? Kwani keshafanya nini? watoto yatima gani kasaidia? Au ni ile michango alochangisha mount meru akaingia nayo mititni? Mbona hata Lema siyo tu? Hakuna kitu pale kichwani ni useless tu. Ukisema wabunge utaita Lema kweli jamani?

Eh utahangaika sana safari hii ,kama si ktk wabunge we unamtakia nini?
 
Mkuu wa mkoa imekula kwako maana wananchi watashabikia ukiwa unaaibika na wana CCM wenzako watakukimbia maana wao wenyewe wanaitamani hiyo nafasi uliyopewa
 
Kuna haja ya sheria kama za china zikaingizwa kwenye katiba mpya............... huyu Mulongo hana qualifications ya kuvuta pumzi ya mungu kabisa................... huyu jamaa hana utu kabisa
Mkuu wacha huyo Mulongo (Mwongo) apelekwe kwa pilato apigwe faini kubwa mamilioni ya kumdhalilisha mbunge wetu na kunyima uhuru aone MACCM watakavyo mtosa!!!
 
Atafanyaje wakati serikali ya chama chenu haimpi nafasi ya kuwatumikia wapiga kura wake? kila akimaliza kesi zenu feki mnamfungulia nyingine,why?
 
CHADEMA ARUSHA huwa wananifurahisha sana hawana Unafki...

Sent from BlackBerry
 
Bora lema kuliko akina magamba ashafanya mambo mzeee
 
Never seen RC kama huyu katika maisha yangu yote,,,hivi kwanza hiki kiburi anakipatia wapi wakuu?
Jiji lenyewe la visu lile wasije wakamButcher bure...

Umemsahau Banduka?
Yule RC aliyemtesa sana Adam Mwaibabile, mwandishi?
Tabia zake km za huyu Muongo.
 
Ushauri wa bure wa huyu ndugu mheshimiwa,kazi kubwa ya mbunge ni kuchukua kero za wananchi na kuzipeleka bungeni kwa namna ya kufanya serikali izitatue,sasa hayo anayofanya ni umbulula wa hali ya juu,anapaswa aheshim wapiga kura wake,anapoteza muda tu,asubiri hukumu yake.

Hapo kwenye red uko sawa. Lakini niambie hizo kero anazichukua kutoka wapi? Siyo kwa wananchi? Na kama alikutana na wanafunzi, tena walimwita, wanafunzi si wananchi. Wanafunzi walimpa kero zao, akawasikiliza, alipokuja Muongo, sorry, Mulongo, akawavuruga na kuwaambia polisi wawatwange mabomu. Sasa hizo kero atazipeleka Bungeni na kuliambia Bunge kuwa Mulongo ni akili ndogo inayoongoza akili kubwa.
 
na ili ipendeze huyu bwana ashtakiwe sehemu mbili...mahakamani na kwa umma,akipita ni kuzomea kwenda mbele,akihutubia ni zomea kwa kwenda mbele kama hajaomba SUB..sheeeeeeenz,UPUUZI anafanya mwingne AIBU naona mimi.
 
Wanajamvi Mwaga CV yake huyo Kilaza Mulongo pumbavu zake.
 
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure

Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
wewe unasema huoni alichokifanya tangu awe mbunge ni kama huna macho maana miaka mitatu ya lema ndio jimbo la Arusha limejengeka kuliko kiaka yote angalia barabara lami mji mzima ukiulizwa najua utasema ni serikali inaweka lami kwa pesa za benki ya dunia labda utuambie serikali na bengi ya dunia zimekuja baada ya lema kupata ubunge? si zilikuepo kwa miaka yote ccm waliyoongoza Arusha? mbona hawakujenga? nikuambie tu kuwa benki ya dunia haikuleta hiyo pesa huko nyuma kwavile waliogopa zitaliwa na sasa kwavile wanajua kuna msimamizi mzuri ndo wameleta sasa sijui unataka maendeleo gani
 
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa

View attachment 91952
umeona hiyo hati ya mashtaka..? Unaita hizo ni fujo.. toka kwa nani..? Umeshawahi kucikia shtaka la uchochezi lenye kufanania maneno hayo toka kwa binadamu wenye akili..?
 
Katika mkutanowake na wanahabari, Lema aliwaonesha ujumbe mfupi wa simu (sms) aliodaikutumiwa na Mulongo akimtishia kuwa atamfungulia kesi yoyote anayoitaka.

"Umerukakihunzi cha kwanza, nitakuonyesha kuwa mimi ni serikali, ulikojifichanitakupata na nitakupa kesi ninayotaka mimi," ulisomeka ujumbe huouliotumwa kupitia simu namba 0752 960276 ambayo Lema alidai ni ya Mulungo.

Baada yamkutano huo, gazeti hili liliwasiliana na Mulongo kwa kutumia namba hiyo kutakakujua kama kweli alimtumia Lema ujumbe huo wa vitisho, lakini alihoji kwakifupi; "wewe ujumbe huo umeuona?" kisha kukata simu.
Source: Tanzania Daima

 
Lema ana haki kabisa ya kumshitaki huyo mheshiwa na ndiyvyo inavyopaswa kuwa. Yale aliyaleta hapa na kugawa kwa wananchi yule katibu wa CHADEMA kanda ya Arusha sidhani kama alifanya vyema maana lolote litakalompata Mkuu wa Mkoa popote kwa sasa yule bwana pamoja na Lema watakua responsible maana alielekeza kuwa wanachama wa CHADEAMA wamzomee huyu bwana popote atakapoonekana na nijuavyo mimi hasa kwa arusha kuzomea huendana na kupopolewa na vurugu za aina zote.

Nadhani kwa viongozi kuoneshana umwamba si jambo la busara ni vyema kufanya kazi kwa pamoja ili kuleta maendeleo na sikwamba kwakuwa wewe ni upinzani basi upambane na serikali na viongozi wake kila wakati na ndiyo maana kunakuwa na diplomasia ambayo hupatikana kwenye meza ya mazungumzo ambapo kila mmoja atapata kiasi na kukosa kiasi.
 
Back
Top Bottom