MBWA WA MANZESE
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,621
- 614
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
watu wa arusha hatutaki lema atufanyie chochote mpaka majimbo mengine yaliyo chini ya mkoloni mweusi yatakapo kuwa huru, tunachofanya sasa tuna export ujasiri na kufuta uoga katika majimbo mengine.