sasa unazungumzia magamba ambao tayari wote twajua hawafai? Tunazungumzia hawa ambao sasa wanasema wanaweza? So kazi ya Lema nini? Kwani keshafanya nini? watoto yatima gani kasaidia? Au ni ile michango alochangisha mount meru akaingia nayo mititni? Mbona hata Lema siyo tu? Hakuna kitu pale kichwani ni useless tu. Ukisema wabunge utaita Lema kweli jamani?
Acha mbulula aburuzwe kote kote.Kwanza ni aibu wana Arusha kuongozwa na kilaza kama yule.Mahakani siyo issue, ka vipi kamanda ampotezee tu..Amshitaki kwenye "mahakama ya Umma"
jino kwa jino, ahamasishe zomea zomea ya ukweli kila atakapoonekana huyo HouseBoy...
kaaaaaaaazi ipo,yeye amejifanya anamwaga mboga,sasa lema mwaga ugali kabisa.kaazi kweli kweli.Akizungumza na waandishi wa habari hii leo katika ofisi ya CHADEMA mkoa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ameelezea nia yake ya kumshitaki Bw.Magesa Mulongo kwa kumtumia ujumbe wa matisho ktk simu yake ya mkononi.
Ameeleza kuwa Mulongo ametumia kila njia kutafuta simu yake ikiwa ni pamoja na kutaka kumrubuni mke wake na pia kumtumia Mbunge wa Arumeru mMashariki kuzungumza nao ili simu iyo iwasilishwe polisi ila imeshindikana.
'Wanasheria wangu wapo katika hatua za mwisho kuandaa mashitaka dhidi ya Mulongo' amedai kamanda Lema..miongoni mwa mawakili wa Lema atakuwepo Kamanda Tundu Lissu
Peleka mahakamani huyo. Haiwezekani akili ndogo itawale akili kubwa
Akizungumza na waandishi wa habari hii leo katika ofisi ya CHADEMA mkoa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ameelezea nia yake ya kumshitaki Bw.Magesa Mulongo kwa kumtumia ujumbe wa matisho ktk simu yake ya mkononi.
Ameeleza kuwa Mulongo ametumia kila njia kutafuta simu yake ikiwa ni pamoja na kutaka kumrubuni mke wake na pia kumtumia Mbunge wa Arumeru mMashariki kuzungumza nao ili simu iyo iwasilishwe polisi ila imeshindikana.
'Wanasheria wangu wapo katika hatua za mwisho kuandaa mashitaka dhidi ya Mulongo' amedai kamanda Lema..miongoni mwa mawakili wa Lema atakuwepo Kamanda Tundu Lissu
nataka kusikia kutoka kwa mwanakijiji na lukosi kuhusiana na jambo hili lilipofikia..asante