Mkuu Lema anatoa elimu kubwa kuliko hiyo zomeazomea.Mahakani siyo issue, ka vipi kamanda ampotezee tu..Amshitaki kwenye mahakama ya Umma"
jino kwa jino, ahamasishe zomea zomea ya ukweli kila atakapoonekana huyo HouseBoy...
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
Sio houseboy, ni shoga la nguvuPeleka hiyo houseboy mahakamani, Mkuu wanasheria wa Lema waikalie waisuke kiukweli. Na ushahidi wa video upo na wanafunzi wako tayari kutoa ushahidi wao live. Ondoa hili houseboy Arusha, hana hadhi ya kuwaongoza wana arusha.
HApo kwenye RED mbona ckuelewi.mkumbuke wewe na nani,ulitaka Lema awe amefanya nini ambalo hajalifanya hadi muda huu.Je ni yupi aliyetimiza aliyoahidi au ujenzi wa reli ya treni iendayo kasi,Kigoma kuwa Dubai,kununua meli kubwa kule ziwa victoria,kufunga barabara Sinza mtaani kwa bi kiroboto,Kupeleka meno ya Tembo China....?Utakuwa m pungufu wa akili lazima.kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
acha umburulakama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa
HApo kwenye RED mbona ckuelewi.mkumbuke wewe na nani,ulitaka Lema awe amefanya nini ambalo hajalifanya hadi muda huu.Je ni yupi aliyetimiza aliyoahidi au ujenzi wa reli ya treni iendayo kasi,Kigoma kuwa Dubai,kununua meli kubwa kule ziwa victoria,kufunga barabara Sinza mtaani kwa bi kiroboto,Kupeleka meno ya Tembo China....?Utakuwa m pungufu wa akili lazima.
acha umburula
wewe. Je ww ni mpiga kura wake? Sisi wapigakura tunajua alichofanya kama hujui alichofanya utulie au utuulize watu wa arusha
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure
Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa