Lema: Nilipigiwa Simu na mtu kutoka serikalini

CCm na Twiga wetu.......tutakuja kuwamenya kama mayai ya kuchemshwa!!
41247_438609861224_104157016224_5149015_1077097_n.jpg

Huyu Bibi wa kimakonde amtuaibisha sana wamakonde, looooh!
 
"Nilipigiwa simu na mtu mmoja kutoka serikalini akaniambia kuna gari nyuma inanifuatilia, nilipogeuka niliona na kusimama kisha nikashuka na kubadili gari na lenyewe likaendelea kunifuatilia," Lema alidai kwamba hata juzi asubuhi alikutana nalo katika nyumba aliyofikia na alipolikaribia watu hao walishusha vioo na kumsalimu wakimwita ni MBUNGE WA ARUSHA ALIYEKO KWENYE LIKIZO.

Ha ha haaaaaa Craaaaaaaaaaaaaap , hakuna kitu hapa hata mtoto wa chekechea huwezi kumdanganya kitoto hivyo. Tangia avuliwe ubunge , jamaa hayuko sawa kabisa na ni mtu wa kuhangaikia perdiem za vikao
 
Unajua Ritz huwa analeta utani hadi kwenye masuala serious.
Utadhani hakumbuki kilichompata Imran Kombe mwaka 1995. Naye alikuwa akifuatiliwa hivihivi kama Lema kabla hajatandikwa risasi

Acha hizo , Kombe ni Kombe bana.
Lema tayari kesha tolewa upepo kwenye matairi kwa hiyo nani anuue?
Ni kama kuua sisimizi kwa rungu, unaharibu rungu lako bure!
 
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?

Hauoni kama walimsalimia kwa kuzuga tu, baada ya kugundua kwamba amewashitukia kuwa wanamfuatilia? au unafikiri lengo lao la kumfuata hata alipobadili gari,ilikuwa ni kumsalimia?Ritz cant you think a little bit more?
 
Hao TISS wasifikiri na wao wako salama,nao wanawindwa kama wanavyowinda.
 
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?



SOMA NA HII!!

VIGOGO kadhaa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) wametajwa “kuingilia” Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), MwanaHALISI limegundua.
Taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya idara hiyo zinaeleza kuwa vigogo hao wana mahusiano ya karibu na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe.
Anayetajwa rasmi kuwa na mahusiano na Zitto ni Naibu Mkurugenzi wa TISS, Jack Zoka.
Kufichuka kwa taarifa za kuwapo “uswahiba” kati ya Zoka na Zitto kumekuja katika kipindi ambacho CHADEMA kimekuwa kikituhumu maofisa wa juu wa usalama wa taifa kuvuruga uchaguzi mkuu uliopita.
Aidha, kuibuka kwa tuhuma hizi kumekuja wiki moja baada ya gazeti hili kuchapisha taarifa mbalimbali za mawasiliano kati ya Zitto na Rais Jakaya Kikwete.
Baadhi ya mawasiliano hayo, ambayo Zitto ameyapeleka kwa rais, aliyapeleka pia kwa baadhi ya watuhumiwa ufisadi nchini.
Kwa mujibu wa mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa ambaye alitangazwa kushika nafasi ya pili nyuma ya Rais Kikwete; viongozi wa TISS walihusika, kwa kiasi kikubwa, katika kile alichoita, “Kuchakachua matokeo ya uchaguzi.”
MwanaHALISI limefanikiwa kupata rekodi ya mshororo wa mawasiliano kati ya Zitto na Zoka.
Kuna mwingiliano wa simu za mdomo na maandishi (sms) kutoka kwa Zitto kwenda kwa baadhi ya vigogo wa ngazi ya juu serikalini na TISS, hasa Zoka.

Nyaraka za mawasiliano zinaonyesha kuwa Zitto amekuwa akiwasiliana na naibu mtendaji mkuu wa TISS huyo zaidi ya mara tatu kwa siku.
Kwa mfano, Zitto na Zoka walifanya mawasiliano ya simu mara tisa hapo tarehe 8 Agosti. Simu iliyotumika katika mawasilino hayo, ni Na. +255756809535 ambayo hutumiwa na Zitto na +255754787550 ambayo hutumiwa na Zoka.
Wakati mawasiliano hayo yanafanyika, Zitto alikuwa katika maeneo tofauti.
Mawasiliano ya kwanza kati ya Zitto na Zoka yalipokuwa yanafanyika, simu ya Zitto ilisomeka kuwa alikuwa katika maeneo mbalimbali.
Mathalani, wakati mwingine simu ilikuwa ikisomeka kuwa yuko Mtambani, Kinondoni Dar es Salaam, Kigoma Urban (Mjini), Kigoma Rural (Vijijini), Mtwara, Uwanja wa ndege-Ilala, Oyster Bay, Ukonga, Upanga na katikati ya mji.
Gazeti hili halikuweza kugundua mara moja undani wa mawasiliano ya Zitto na Zoka.
Kinachofanya baadhi ya wachunguzi wa mambo kujenga shaka ni kwamba mmoja ni mwanasiasa, tena kutoka chama kilichopo nje ya utawala; na mwingine ni mtumishi wa idara ya usalama inayolalamikiwa kukandamiza upinzani nchini.
Hata hivyo, taarifa zinaonyesha kuwa mawasiliano kati ya Zitto na Zoka yalianza kupamba moto kuanzia tarehe 6 Agosti 2010, siku moja baada ya CHADEMA kuzindua kampeni zake za urais.
Kulingana na uchunguzi, siku hiyo, tarehe 6 Agosti, simu ya Zitto ilisomeka kuwa yuko Kigoma Urban.
Katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni, CHADEMA kupitia kada wake mashuhuri, Mabere Marando, iliibuka na lundo la tuhuma dhidi ya vigogo kadhaa wa serikali, CCM na idara ya usalama wa taifa.

Mawasiliano mengine ya mara kwa mara yalifanyika tarehe 7 Agosti 2010, siku mbili tangu hotuba kali ya Jangwani. Yalianza saa 10:17 na kuendelea tena saa 10:50, saa 10:51:31, saa 11:46:13, saa 12: 14:46, saa 12:26:48 na saa 13:50: 21.
Lakini Zitto alipoulizwa kuhusu sababu ya yeye kufanya mawasiliano ya mara kwa mara na vigogo wa TISS, alisema hajui na hakumbuki lolote kuhusu kuwapo mawasiliano hayo na Zoka au mkuu yeyote wa idara hiyo.

Zitto amesema yeye, akiwa mwanasiasa na kiongozi, anazungumza na watu wengi kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ndani na nje ya nchi, lakini hajui kitu kuhusu usalama wa taifa.

Alipobanwa kuhusu mazungumzo yake na Zoka, hasa yale ya 3 Novemba 2010, saa nne na dakika 56 asubuhi, siku mbili baada ya uchaguzi kumalizika, Zitto alisema, “Siku hiyo nilizungumza na watu wengi sana. Siwakumbuki ni akina nani hasa.”
Alisema, “Hicho ndicho kipindi ambacho matokeo ya uchaguzi nchini kote yalikuwa yakizuiwa ikiwamo kwetu Kigoma. Na ukumbuke mimi nilipigwa mabomu na polisi na usalama wa taifa. Nakumbuka viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi na usalama walinipigia simu kunijulia hali na kupata taarifa ya kilichotokea,” anaeleza.

“Sasa kama Zoka naye alinipigia siku hiyo sikumbuki; lakini nilipigiwa na wengi…Naomba uniambie kitu, hivi mnachokitafuta hasa ni nini?” aliuliza.
Katika njia ya kujitetea, Zitto aliuliza, “Mwanasiasa kuongea na wakuu wa vyombo vya usalama ni kosa? Maana, hata kama ningekuwa nimezungumza naye, kosa langu liko wapi?” alieleza mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini.

Alipoelezwa kuwa haoni hiyo ni hujuma dhidi ya chama chake kwa kuzungumza na viongozi wa TISS na kile ambacho amekuwa akikizungumza kikiwa hakifahamiki kwa viongozi wake, Zitto alisema, “Sijawahi kukihujumu chama changu mahali popote, siku yoyote.”

Jitihada za gazeti hili kuzungumza na Zoka hazikufanikiwa katika kipindi chote
cha mwishoni mwa wiki, kwa vile kila alipopigiwa, simu yake ya mkononi ilikuwa haipokelewi.

Hata ujumbe mfupi wa maneno uliotumwa kwenye simu yake saa 2:53 asubuhi ya Jumapili; ukieleza sababu za gazeti kuzungumza naye, haukujibiwa.

Aidha, tarehe 2 Novemba, siku moja baada ya kuzungumza na Zitto, Zoka alinukuliwa akikana madai ya Dk. Slaa, kuwa TISS imesaidia kuvuruga uchaguzi.
Katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari, ofisini kwake jijini Dar es Salaam, Zoka alisema, “Dk. Slaa amekuwa akidanganywa na watu wanaojiita maofisa wa usalama wa taifa.”
Hata hivyo, kuna meseji mbalimbali kuhusu udini na uamuzi wa CHADEMA kususia hotuba ya rais Kikwete ambazo zilitumwa na Zitto kwa baadhi ya wabunge wa CHADEMA ambazo zinadaiwa kuandaliwa na idara ya usalama wataifa.
Ujumbe huo unadaiwa kuandaliwa kwa ustadi mkubwa katika kukuza suala la udini na kuleta mtafaruki katika chama.[/COLOR]
 
Na mimi juzi nilikuwa na drive kugeuka nyuma nakata kona naona gari nyeusi tinted Fortuner nayo imekata kona dah lazima itakuwa usalama wa Taifa.
 
"Nilipigiwa simu na mtu mmoja kutoka serikalini akaniambia kuna gari nyuma inanifuatilia, nilipogeuka niliona na kusimama kisha nikashuka na kubadili gari na lenyewe likaendelea kunifuatilia," Lema alidai kwamba hata juzi asubuhi alikutana nalo katika nyumba aliyofikia na alipolikaribia watu hao walishusha vioo na kumsalimu wakimwita ni MBUNGE WA ARUSHA ALIYEKO KWENYE LIKIZO.

Hiyo kitu Mkuu hata mimi naifahamu na kuna kipindi watu hawa wa TISS walikuwa kama 4 hivi na kwa bahati nzuri sana watatu kati yao nawafahamu fika na hata wao wananifahamu fika na hata kama wapo humu nadhani watakumbuka maneno niliyowaambia Jumamosi pale pale nje ya Southern Sun Hotel kwamba I know better the whole mission ya wao kuwepo pale.
 
sio kila mtu anayefanya kazi usalama wa taifa ana roho ya mauaji ndo maana chadema wanapata taarifa hizi kirahisi
kuna watu kule wanamwogopa na kumuheshim sana mwenyezi Mungu
me mwenyew nikipata furusa ya kufanya kazi usalama wa taifa kitengo hiki cha kuratibu mauaji, ukitokea mpango wowte wa kumuondoa mtu dunia pasipokuwa na mapenzi ya Mungu......ntarikisha habari kwa muhusika ili ajipange
 
Nafikiri CCM wanajaribu kupima kina cha maji. Historia inaonesha kuwa uongozi wowote unaposhindwa hoja huanza vitisho na ukandamizaji ambao polepole huongeza ujasiri miongoni mwa wananchi na kujikuta ukigeukwa na kuangushwa. Sasa CCM wasitumie vibaya advantage ya kuwa na serikali inayowapatia authority ya kutoa amri kwa vyombo vya dola. Na vyombo vya dola pia ambao ninaamini kuna wataalam wazuri na wazalendo wanatakiwa kujua kuwa unapokubali kutekeleza amri haramu ya mtawala basi na wewe unakuwa ni sehemu ya wahalifu hao. Siku mtawala akianguka na wewe pia unaanguka na taaluma yako.

Haihitaji kutekeleza amri haramu ili kulinda kazi yako ni bora ujiuzulu na kukaa pembeni kuliko kuwa sehemu ya uhalifu. Unaweza ua mtu lakini huwezi ua mawazo. Na kitu cha kujifunza ni kuwa vitisho havikufanyi upendwe au uonekane uendelee kutawala, bali vitisho vinakufanya uongeze chuki kati ya wananchi na serikali yako. Walikuwepo kina Sadam Hussein, Gaddafi, Mobutu, Idi Amini Dada et al na wote hao leo hii wamepita na tawala zao zimekuwa historia.

Tanzania ni yetu sote hivyo tuifanye nchi salama ya wote kuishi kwa amani bila woga, Ukimu-eliminate mtu anayepingana na wewe basi ujue unaandaa watu laki wanaopingana na wewe na hivyo kujikuta unaweka maisha ya watu wanakuzunguuka na wanaohusiana na wewe katika hali ya wasiwasi wa avenge. Hakuna mtu wala chama chenye haki miliki ya uongozi wa nchi hivyo tukubali kuwa kama wananchi wakisema sasa basi iwe basi, wewe na wanaokuzunguuka chukueni majembe mkalime msubiri next time mje kuwashawishi wananchi tena.

Hizi operation za giza zinzoandaliwa hazitafanikiwa kamwe, zinaweza fanikiwa kuzima wahusika lakini hazitafanikiwa kuzima fikra za mabadiliko, kwani hata kama watu watakuwa wanaishi kwa woga bado hawakuoni wewe kuwa ni kiongozi wao. Kuna maana gani ya kuwa kiongozi bila ya kupata ushirikiano toka kwa unaowaongoza?. kama lengo ni kuongoza si kutunisha tumbo lako?.

I hate haya mawazo ya targeted killing kwa kuwa tu watu fulani wanatishia ulaji wetu. Cha kujiuliza na kufikiri ni kuwa ni rahisi sana kuanzisha uvunjifu wa amani ila ni vigumu sana kuirudisha amani hiyo, kwani amani hulka na tabia inayojijenga kwenye akili isiyokuwa na wazo la kulipa kisasi kwa sababu imeonewa. Vyombo vya dola vitumike kulinda wananchi na mali zao na kulinda nchi na si rungu la kujiimarishia madaraka ambayo by nature hutolewa na wananchi. Unapowaingiza wanausalama wengi katika criminal activities maana yake ni kwamba wanausalama hawa wanajiona kuwa guilty unless someone anayewalinda aendelee kutawala. Tunataka Tanzania ambayo CCM ikiondoka madarakani basi wakuu wa usalama kama public servants waendelee kuwa salama katika nafasi zao, kwani chaguzi hubadili viongozi wa siasa tu na si watekelezaji ambao wamekuwa trained kwa pesa nyingi za walipa kodi.

Tabia ya wanasiasa kuwapaka uchafu wao wataalam kwa sababu tu wanadhani kwa kufanya hivyo kutalinda nafasi zao ni mbaya na haifai. Tunataka Tanzania yenye uwezo wa kutransion power toka chama kimoja kwenda kingine kwa amani na utulivu kwani lengo la siasa si kuvunja amani bali ni kugonganisha mawazo positive yenye nia moja ya kuendeleza nchi.

Shame on those who are abusing their political authorities!, hata kama mna pesa uswisi za kukimbilia baada ya kutuunguzia nchi yetu kwa tamaa zenu binafsi, ila mjue kuwa popte mtakapokuwa popote pale duniani mtapatikana tu.

Mungu Ibariki Tanzania!
 
Hiyo kitu Mkuu hata mimi naifahamu na kuna kipindi watu hawa wa TISS walikuwa kama 4 hivi na kwa bahati nzuri sana watatu kati yao nawafahamu fika na hata wao wananifahamu fika na hata kama wapo humu nadhani watakumbuka maneno niliyowaambia Jumamosi pale pale nje ya Southern Sun Hotel kwamba I know better the whole mission ya wao kuwepo pale.


Kwa hiyo mkuu kumbe unajua lengo lao!!! hawakustuka ulipowambia hivyo?...walikujibu chochote?
 
Mimi nadhani umefika wakati sasa hata ukisimamishwa na Trafic barabarani kukiwa hamna wapita njia wengine usisimame maana huwezi jua wametumwa wakufanye nini.
I truly belive and in one of my contribution in the thread about Dr Ulimboka I had warned that the next victim of the Mafia style intimadation will be a Politician. The reason is simple they in power(TISS etc) intimidates those who "see things differently" from President and Prime Minister. This does not discriminate the political party but opinion. Having said that in addition to Chadema Leaders who have anounced in public that there are plans to take them to Madepwande, am worried about the safety of Filikunjombe and all those who dares to give out their opposing Opinions among CCM MP
 
SOMA NA HII!!

VIGOGO kadhaa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) wametajwa kuingilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), MwanaHALISI limegundua.
Taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya idara hiyo zinaeleza kuwa vigogo hao wana mahusiano ya karibu na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe.
Anayetajwa rasmi kuwa na mahusiano na Zitto ni Naibu Mkurugenzi wa TISS, Jack Zoka.
Kufichuka kwa taarifa za kuwapo uswahiba kati ya Zoka na Zitto kumekuja katika kipindi ambacho CHADEMA kimekuwa kikituhumu maofisa wa juu wa usalama wa taifa kuvuruga uchaguzi mkuu uliopita.
Aidha, kuibuka kwa tuhuma hizi kumekuja wiki moja baada ya gazeti hili kuchapisha taarifa mbalimbali za mawasiliano kati ya Zitto na Rais Jakaya Kikwete.
Baadhi ya mawasiliano hayo, ambayo Zitto ameyapeleka kwa rais, aliyapeleka pia kwa baadhi ya watuhumiwa ufisadi nchini.
Kwa mujibu wa mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa ambaye alitangazwa kushika nafasi ya pili nyuma ya Rais Kikwete; viongozi wa TISS walihusika, kwa kiasi kikubwa, katika kile alichoita, Kuchakachua matokeo ya uchaguzi.
MwanaHALISI limefanikiwa kupata rekodi ya mshororo wa mawasiliano kati ya Zitto na Zoka.
Kuna mwingiliano wa simu za mdomo na maandishi (sms) kutoka kwa Zitto kwenda kwa baadhi ya vigogo wa ngazi ya juu serikalini na TISS, hasa Zoka.

Nyaraka za mawasiliano zinaonyesha kuwa Zitto amekuwa akiwasiliana na naibu mtendaji mkuu wa TISS huyo zaidi ya mara tatu kwa siku.
Kwa mfano, Zitto na Zoka walifanya mawasiliano ya simu mara tisa hapo tarehe 8 Agosti. Simu iliyotumika katika mawasilino hayo, ni Na. +255756809535 ambayo hutumiwa na Zitto na +255754787550 ambayo hutumiwa na Zoka.
Wakati mawasiliano hayo yanafanyika, Zitto alikuwa katika maeneo tofauti.
Mawasiliano ya kwanza kati ya Zitto na Zoka yalipokuwa yanafanyika, simu ya Zitto ilisomeka kuwa alikuwa katika maeneo mbalimbali.
Mathalani, wakati mwingine simu ilikuwa ikisomeka kuwa yuko Mtambani, Kinondoni Dar es Salaam, Kigoma Urban (Mjini), Kigoma Rural (Vijijini), Mtwara, Uwanja wa ndege-Ilala, Oyster Bay, Ukonga, Upanga na katikati ya mji.
Gazeti hili halikuweza kugundua mara moja undani wa mawasiliano ya Zitto na Zoka.
Kinachofanya baadhi ya wachunguzi wa mambo kujenga shaka ni kwamba mmoja ni mwanasiasa, tena kutoka chama kilichopo nje ya utawala; na mwingine ni mtumishi wa idara ya usalama inayolalamikiwa kukandamiza upinzani nchini.
Hata hivyo, taarifa zinaonyesha kuwa mawasiliano kati ya Zitto na Zoka yalianza kupamba moto kuanzia tarehe 6 Agosti 2010, siku moja baada ya CHADEMA kuzindua kampeni zake za urais.
Kulingana na uchunguzi, siku hiyo, tarehe 6 Agosti, simu ya Zitto ilisomeka kuwa yuko Kigoma Urban.
Katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni, CHADEMA kupitia kada wake mashuhuri, Mabere Marando, iliibuka na lundo la tuhuma dhidi ya vigogo kadhaa wa serikali, CCM na idara ya usalama wa taifa.

Mawasiliano mengine ya mara kwa mara yalifanyika tarehe 7 Agosti 2010, siku mbili tangu hotuba kali ya Jangwani. Yalianza saa 10:17 na kuendelea tena saa 10:50, saa 10:51:31, saa 11:46:13, saa 12: 14:46, saa 12:26:48 na saa 13:50: 21.
Lakini Zitto alipoulizwa kuhusu sababu ya yeye kufanya mawasiliano ya mara kwa mara na vigogo wa TISS, alisema hajui na hakumbuki lolote kuhusu kuwapo mawasiliano hayo na Zoka au mkuu yeyote wa idara hiyo.

Zitto amesema yeye, akiwa mwanasiasa na kiongozi, anazungumza na watu wengi kutoka katika taasisi na mashirika mbalimbali ndani na nje ya nchi, lakini hajui kitu kuhusu usalama wa taifa.

Alipobanwa kuhusu mazungumzo yake na Zoka, hasa yale ya 3 Novemba 2010, saa nne na dakika 56 asubuhi, siku mbili baada ya uchaguzi kumalizika, Zitto alisema, Siku hiyo nilizungumza na watu wengi sana. Siwakumbuki ni akina nani hasa.
Alisema, Hicho ndicho kipindi ambacho matokeo ya uchaguzi nchini kote yalikuwa yakizuiwa ikiwamo kwetu Kigoma. Na ukumbuke mimi nilipigwa mabomu na polisi na usalama wa taifa. Nakumbuka viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi na usalama walinipigia simu kunijulia hali na kupata taarifa ya kilichotokea, anaeleza.

Sasa kama Zoka naye alinipigia siku hiyo sikumbuki; lakini nilipigiwa na wengiNaomba uniambie kitu, hivi mnachokitafuta hasa ni nini? aliuliza.
Katika njia ya kujitetea, Zitto aliuliza, Mwanasiasa kuongea na wakuu wa vyombo vya usalama ni kosa? Maana, hata kama ningekuwa nimezungumza naye, kosa langu liko wapi? alieleza mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini.

Alipoelezwa kuwa haoni hiyo ni hujuma dhidi ya chama chake kwa kuzungumza na viongozi wa TISS na kile ambacho amekuwa akikizungumza kikiwa hakifahamiki kwa viongozi wake, Zitto alisema, Sijawahi kukihujumu chama changu mahali popote, siku yoyote.

Jitihada za gazeti hili kuzungumza na Zoka hazikufanikiwa katika kipindi chote
cha mwishoni mwa wiki, kwa vile kila alipopigiwa, simu yake ya mkononi ilikuwa haipokelewi.

Hata ujumbe mfupi wa maneno uliotumwa kwenye simu yake saa 2:53 asubuhi ya Jumapili; ukieleza sababu za gazeti kuzungumza naye, haukujibiwa.

Aidha, tarehe 2 Novemba, siku moja baada ya kuzungumza na Zitto, Zoka alinukuliwa akikana madai ya Dk. Slaa, kuwa TISS imesaidia kuvuruga uchaguzi.
Katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari, ofisini kwake jijini Dar es Salaam, Zoka alisema, Dk. Slaa amekuwa akidanganywa na watu wanaojiita maofisa wa usalama wa taifa.
Hata hivyo, kuna meseji mbalimbali kuhusu udini na uamuzi wa CHADEMA kususia hotuba ya rais Kikwete ambazo zilitumwa na Zitto kwa baadhi ya wabunge wa CHADEMA ambazo zinadaiwa kuandaliwa na idara ya usalama wataifa.
Ujumbe huo unadaiwa kuandaliwa kwa ustadi mkubwa katika kukuza suala la udini na kuleta mtafaruki katika chama.[/COLOR]

Huu ni udaku wa siku nyingi wa Kubenea.
 
PRESIDENT KIKWETE MUST GUARANTEE FOR THE-24 HOUR SECURITY OF ALL CHADEMA AND FAITH LEADERS NOW OR CARRY THE BURDEN OF ANY HARM ON AND AROUND THEM TODAY AND TOMORROW

The security situation IS SO DIRE to this minute than ever before in our country's history. A state-managed THREATS on key opposition figures in the country IS NOW REAL than anyone can imagine.

All these are left to go on AMIDST ALREADY DIVIDED SECURITY INSTITUTIONS in the nation with an open development of 'GO KILL A CHRISTIAN RELIGIOUS OR POLITICAL LEADER' has since become an open-secret song in a number of corridors of power in our country to this minute.

Just as much as a number of opposition leaders ARE NOW CAUSED TO FEAR FOR THEIR LIVES round the clock, the country's most unpopular top face is not sitting pretty either.

In fact, the deeply entrenched fears in the country's top leadership has since sent them into an untold brand of PANIC, INCONSISTENCIES, AND A KIND OF DRIVE OF 'LET US ALL LOOSE SOMETHING' as a feeling of having lost in everything can't just be prevented on their side.

A closer study on the current budget and resources allocation to a number of sensitive offices around are in fact telling volumes of the untold stories. But the donor countries and institutions are more likely to prevail on the 'unholy budget' that has since been unrolled majorly for repressional moves and an immediate death of democracy and human rights all through.

With these levels os VERY SERIOUS allagation already renting the air of STATE-PLANNED KILLINGS of a number of CHADEMA leaders under various disguises, we now DEMAND FORTHE STATE TO MOVE QUICKLY INTO GUARANTEEING THE SAFETY AND SECURITY of a number of opposition leaders including Dr Slaa, John Mnyika, Godbless Lema and a number of church leaders countrywide who are ALREADY SLOTED FOR DEATH by the CCM government.

It should be remembered that the public outcry about the safety and security of their leaders is already catching the space everywhere and thus, it means tha the public shall NOT be ready to take any killings done today or tomorrow on the opposition leaders.

Lastly, my very humble question is HOW THE COUNTRY'S POLITICAL LANDSCAPE IS EXPECTED TO BE after the killing of the notable opposition leaders now being talked of. So far, people are already reading a kind of a religious-geared operation of a number of our security apparatus everywhere and that is just NOT SO GOOD for the country.

TANZANIA must be prevented from experimenting with doom, the government must be caused to see light that any level of DISGUISED KILLING OF OPPOSITION LEADERS is by no means any self-assuring; STOP, STOP, STOP IT NOW!!!


"Nilipigiwa simu na mtu mmoja kutoka serikalini akaniambia kuna gari nyuma inanifuatilia.

Nilipogeuka niliona na kusimama kisha nikashuka na kubadili gari na lenyewe likaendelea kunifuatilia," Lema alidai kwamba hata juzi asubuhi alikutana nalo katika nyumba aliyofikia.

Na alipolikaribia watu hao walishusha vioo na kumsalimu wakimwita ni MBUNGE WA ARUSHA ALIYEKO KWENYE LIKIZO.
 
Ritz yuko sawa,hiyo stori ni ya kuwaambia mazuzu sio watu wenye akili....eti nimepigiwa simu..... ku si bullshiiiiiiit!!!!

great thinker !!!unapoletewa taarifa jaribu kuitafakari kwanza halafu ndio utoe maoni yako.usiwe kama mtoto once akiambiwa huyu ni ndege basi yeye atakariri chochote kinachopaa ni ndege hata akiona Nzi!!
 
Back
Top Bottom