Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
uoga tu.
we ni mpuuzi! Its a person's life at stake here
uoga tu.
Unajua Ritz huwa analeta utani hadi kwenye masuala serious.
Utadhani hakumbuki kilichompata Imran Kombe mwaka 1995. Naye alikuwa akifuatiliwa hivihivi kama Lema kabla hajatandikwa risasi
CCm na Twiga wetu.......tutakuja kuwamenya kama mayai ya kuchemshwa!!
"nilipigiwa simu na mtu mmoja kutoka serikalini akaniambia kuna gari nyuma inanifuatilia, nilipogeuka niliona na kusimama kisha nikashuka na kubadili gari na lenyewe likaendelea kunifuatilia," lema alidai kwamba hata juzi asubuhi alikutana nalo katika nyumba aliyofikia na alipolikaribia watu hao walishusha vioo na kumsalimu wakimwita ni mbunge wa arusha aliyeko kwenye likizo.
Ritz ndg yangu mbona we kichwa umiza? Anyway, anakuambia alipigiwa simu na mtu wa kwenye system, akaambiwa anawindwa, na kuna gari inamfuatilia kataja na namba ya gari, mpaka walipokutana nao wakamsalimia kinafiki.
"Nilipigiwa simu na mtu mmoja kutoka serikalini akaniambia kuna gari nyuma inanifuatilia, nilipogeuka niliona na kusimama kisha nikashuka na kubadili gari na lenyewe likaendelea kunifuatilia," Lema alidai kwamba hata juzi asubuhi alikutana nalo katika nyumba aliyofikia na alipolikaribia watu hao walishusha vioo na kumsalimu wakimwita ni MBUNGE WA ARUSHA ALIYEKO KWENYE LIKIZO.
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?
Ritz ndg yangu mbona we kichwa umiza? Anyway, anakuambia alipigiwa simu na mtu wa kwenye system, akaambiwa anawindwa, na kuna gari inamfuatilia kataja na namba ya gari, mpaka walipokutana nao wakamsalimia kinafiki.
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?
uoga tu.
Toa sababu za msingi kuwa stori hiyo ni ya kitoto. usilete uamuzi wa kinjekitile. Gamba wewe
du unajitia aibu naona ukafunge...na le mutuz maana hamna mawazo ya kiume nenda kule kwa camoroon atakuzawadia mche
"Nilipigiwa simu na mtu mmoja kutoka serikalini akaniambia kuna gari nyuma inanifuatilia, nilipogeuka niliona na kusimama kisha nikashuka na kubadili gari na lenyewe likaendelea kunifuatilia," Lema alidai kwamba hata juzi asubuhi alikutana nalo katika nyumba aliyofikia na alipolikaribia watu hao walishusha vioo na kumsalimu wakimwita ni MBUNGE WA ARUSHA ALIYEKO KWENYE LIKIZO.
CCm na Twiga wetu.......tutakuja kuwamenya kama mayai ya kuchemshwa!!