Serikali inakupigia ili upate jazba urushe risasi wao wakumalizehata kudanganya huwezi. serikali.hiyohiyo ikuwinde halafu serikali hiyohiyo ukutaarifu kuwa kuna gari inakufatilia kwa nyuma..hujapona lema rudi hospital
Baseless PARANOIA.....
hata kudanganya huwezi. serikali.hiyohiyo ikuwinde halafu serikali hiyohiyo ukutaarifu kuwa kuna gari inakufatilia kwa nyuma..hujapona lema rudi hospital
Lema sio mzima,kumbuka kuna wakati pale arusha mke wa mkiti wa vijana alifariki yeye lema akaanza kuiombea maiti ifufuke,sasa utaahira km huu si unapaswa kupelekwa mirembe.
naona umeanza kuimba mashairi mzee,
Acha utumwa wa kijinga kubwa bure wewe!
Tumia kichwa kufikiri ndio uje humu jamvini!
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?
Hata mie naiona nyepesi,,kimsingi siipendi ccm na idara zao zote,napenda mabadiliko yaanzie hata sasa tena ofcn hapa,lkn CDM wanapofikia hatua hii ya kuweweseka kwa kiwango hiki cha kuchuliana naanza kuchoka
Sasa walishindwaje kumuuwa wangetaka kumuuwa? anaetaka kukuuwa anakusalimu?
Mambo mengine ya kijinga kabisa na mijitu inakubali tu.
Baba na mama hawa hapa
![]()
Wakuu wenzie wanapiga mitambiko kama hawa hapa
![]()