Lema: Nilipigiwa Simu na mtu kutoka serikalini

Lema: Nilipigiwa Simu na mtu kutoka serikalini

Sauti ya umma ni sauti ya MUNGU na kitambo kidogo mambo haya yatakwenda kuwa hadharani,ee mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tuongoze vyema katika mapambano haya....aluta continue!!!!!
 
Acha utumwa wa kijinga kubwa bure wewe!
Tumia kichwa kufikiri ndio uje humu jamvini!

Yaani wewe ulivyokuwa na upeo mdogo unadhani wote tupo hivyo siwezi kuamini stori ya kitoto kama hii...
 
Lema, acha kulia lia wewe si kila siku unasema ugopi kufa wao wana pesa wewe una Mungu, kupigiwa simu tu unasema unataka kuuliwa...acha uoga Lema au umeamua kuja na singo mpya.

Lema hajalia bali ametoa taarifa. Lema ana Mungu ndiyo maana kila mbinu wanazotaka kufanya inafichuka
 
CCm na Twiga wetu.......tutakuja kuwamenya kama mayai ya kuchemshwa!!
41247_438609861224_104157016224_5149015_1077097_n.jpg


Bigirita umenikumbusha mbali enzi zile tukiwa shule ya msingi tukiwa kwenye paredi.

Chama gani kizuzi ccm mkombozi * 2

Aahhaaaa ccm mkombozi*2!

Unaikumbuka hiyo enzi ya mwalimu?
 
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?
Wakina Jack Nzoka wanatumia mtindo wa kizamani kuwafuatilia viongozi wa CDM ambao ni wajanja mara elfu moja kuliko wao ambao wamesoma Urusi na Al-haramain
 
Jamani amani imetoweka miongoni mwa wa TZ, tumekuwa hatuaminiani kiasi hiki?
 
Hii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?

Ritz kweli hamnazo. Hao maofisa basi ni mabwege kama unaona wao kumfuatilia Lema kila kona ni kutaka kumsalimia tu. Kweli inaingia akilini? Basi wambie waje wanisalimie nami pia. Sema kumbe ndo ukosefu wa ajira basi wameajiriwa wawasalimie watu kama Lema na kulipwa! Bado tu hujafundwa, Ritz?
 
Hizi harakati za TISS lazima zitakuwa na uhusiano na kuanzishwa kwa CHAUMMA. Wasira kishasema lazima CDM isambaratike kabla mwaka huu haujaisha.
 
Yaani wewe ulivyokuwa na upeo mdogo unadhani wote tupo hivyo siwezi kuamini stori ya kitoto kama hii...



Haujapata hiyo? Tunabishana na kilaza kama wewe unayetumia masaburi kuwaza kuliko kutumia kichwa,ama ndio hayo umeanza chuo kbl ya msingi?

Humu jamvini utabadili jina tu kama wale vilaza wenzio waliokimbia mchana kweupe!
 
Ritz yuko sawa,hiyo stori ni ya kuwaambia mazuzu sio watu wenye akili....eti nimepigiwa simu..... ku si bullshiiiiiiit!!!!

Na we ni zuzu kwasababu umechangia uzuzu wako.
 
Ritz yuko sawa,hiyo stori ni ya kuwaambia mazuzu sio watu wenye akili....eti nimepigiwa simu..... ku si bullshiiiiiiit!!!!

Hii ni Series mpya ndio kwanza tupo Episodes I ina Episodes 20.
 
Lema na yeye kazubaa, we mtu amekufuata zaidi ya 3, kila kona unayoenda yupo, mpige risasi then sema ni jambazi! inatosha sio mpaka kulalamika kwenye vyombo vya habari,,...ua Lema
 
Yaani wewe ulivyokuwa na upeo mdogo unadhani wote tupo hivyo siwezi kuamini stori ya kitoto kama hii...

Ndiyo maana CDM hatuendi polisi kutoa taarifa, maana kila taarifa za CDM kwa policcm ni za kitoto
 
Back
Top Bottom