The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,281
Akina ritz and the like ni kitengo cha propaganda cha chama cha mabwepande aka sisiemu.
ulisWewe hawahi kusema Lema ni jambazi, nani anajuwa wewe ni nani?Kombe bosi wao waliyekuwa wakimfahamu pale Moshi walimwita jambazi...
Kutokana na michango yako humu ndani, wewe ni fisadi kubwa.
Kajipanga kupoteza mada hawezi kuamini hata kama anafuatiliwa hasa Bwn Lema anaona ni sawa tuu, au analipwa kupotezea mada watu wasishtuke waone ni normal, kazi nzuri Ritz hadi uone Dr Uli !!!!
Nafikiri CCM wanajaribu kupima kina cha maji. Historia inaonesha kuwa uongozi wowote unaposhindwa hoja huanza vitisho na ukandamizaji ambao polepole huongeza ujasiri miongoni mwa wananchi na kujikuta ukigeukwa na kuangushwa. Sasa CCM wasitumie vibaya advantage ya kuwa na serikali inayowapatia authority ya kutoa amri kwa vyombo vya dola. Na vyombo vya dola pia ambao ninaamini kuna wataalam wazuri na wazalendo wanatakiwa kujua kuwa unapokubali kutekeleza amri haramu ya mtawala basi na wewe unakuwa ni sehemu ya wahalifu hao. Siku mtawala akianguka na wewe pia unaanguka na taaluma yako.
Haihitaji kutekeleza amri haramu ili kulinda kazi yako ni bora ujiuzulu na kukaa pembeni kuliko kuwa sehemu ya uhalifu. Unaweza ua mtu lakini huwezi ua mawazo. Na kitu cha kujifunza ni kuwa vitisho havikufanyi upendwe au uonekane uendelee kutawala, bali vitisho vinakufanya uongeze chuki kati ya wananchi na serikali yako. Walikuwepo kina Sadam Hussein, Gaddafi, Mobutu, Idi Amini Dada et al na wote hao leo hii wamepita na tawala zao zimekuwa historia.
Tanzania ni yetu sote hivyo tuifanye nchi salama ya wote kuishi kwa amani bila woga, Ukimu-eliminate mtu anayepingana na wewe basi ujue unaandaa watu laki wanaopingana na wewe na hivyo kujikuta unaweka maisha ya watu wanakuzunguuka na wanaohusiana na wewe katika hali ya wasiwasi wa avenge. Hakuna mtu wala chama chenye haki miliki ya uongozi wa nchi hivyo tukubali kuwa kama wananchi wakisema sasa basi iwe basi, wewe na wanaokuzunguuka chukueni majembe mkalime msubiri next time mje kuwashawishi wananchi tena.
Hizi operation za giza zinzoandaliwa hazitafanikiwa kamwe, zinaweza fanikiwa kuzima wahusika lakini hazitafanikiwa kuzima fikra za mabadiliko, kwani hata kama watu watakuwa wanaishi kwa woga bado hawakuoni wewe kuwa ni kiongozi wao. Kuna maana gani ya kuwa kiongozi bila ya kupata ushirikiano toka kwa unaowaongoza?. kama lengo ni kuongoza si kutunisha tumbo lako?.
I hate haya mawazo ya targeted killing kwa kuwa tu watu fulani wanatishia ulaji wetu. Cha kujiuliza na kufikiri ni kuwa ni rahisi sana kuanzisha uvunjifu wa amani ila ni vigumu sana kuirudisha amani hiyo, kwani amani hulka na tabia inayojijenga kwenye akili isiyokuwa na wazo la kulipa kisasi kwa sababu imeonewa. Vyombo vya dola vitumike kulinda wananchi na mali zao na kulinda nchi na si rungu la kujiimarishia madaraka ambayo by nature hutolewa na wananchi. Unapowaingiza wanausalama wengi katika criminal activities maana yake ni kwamba wanausalama hawa wanajiona kuwa guilty unless someone anayewalinda aendelee kutawala. Tunataka Tanzania ambayo CCM ikiondoka madarakani basi wakuu wa usalama kama public servants waendelee kuwa salama katika nafasi zao, kwani chaguzi hubadili viongozi wa siasa tu na si watekelezaji ambao wamekuwa trained kwa pesa nyingi za walipa kodi.
Tabia ya wanasiasa kuwapaka uchafu wao wataalam kwa sababu tu wanadhani kwa kufanya hivyo kutalinda nafasi zao ni mbaya na haifai. Tunataka Tanzania yenye uwezo wa kutransion power toka chama kimoja kwenda kingine kwa amani na utulivu kwani lengo la siasa si kuvunja amani bali ni kugonganisha mawazo positive yenye nia moja ya kuendeleza nchi.
Shame on those who are abusing their political authorities!, hata kama mna pesa uswisi za kukimbilia baada ya kutuunguzia nchi yetu kwa tamaa zenu binafsi, ila mjue kuwa popte mtakapokuwa popote pale duniani mtapatikana tu.
Mungu Ibariki Tanzania!
Ritz yuko sawa,hiyo stori ni ya kuwaambia mazuzu sio watu wenye akili....eti nimepigiwa simu..... ku si bullshiiiiiiit!!!!
Umeuona udhaifu wa serikali wanawajua majambazi alafu wanawaacha hadi wanakuwa waheshimiwa. UPUUUUUZi!.Hapo kwenye red nadhani mie utanionea bure
Bwana ZOMBE alizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania hapo jana. Aidha zombe amedai kuwa wakati alipokuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa DSM alipata taarifa kuwa Bwana LEMA ana mtandao wa wizi wa magari kutoka Tanzania na kuyapeleka Kenya.
Usikurupuke ka gurue pori, shirikisha ubongo japo kwa 1.5%.....
Since unatumia jina bandia, sikujui wewe ni nani, sasa tofauti ikwapi ukisema si wewe umesema ni Zombe?Useme wewe, aseme Zombe,mi sioni tofauti.Hapo kwenye red nadhani mie utanionea bure
Bwana ZOMBE alizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania hapo jana. Aidha zombe amedai kuwa wakati alipokuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa DSM alipata taarifa kuwa Bwana LEMA ana mtandao wa wizi wa magari kutoka Tanzania na kuyapeleka Kenya.
Inawezekana ulikuwa mtego ili Lema awajibu hao jamaa kwa risasi(assuming Lema is always armed) so a shoot out would ensue. Lema might be armed but would be no match for the instigators who definitely were wearing bullet proof vestsHii stori ya kitoto kabisa kwa hiyo ndio katishiwa kuuliwa kwa kusalimiawa?
Unaweza ukamuua mwanamageuzi lakini huwezi kuua ideas za mageuzi
Usikurupuke ka gurue pori, shirikisha ubongo japo kwa 1.5%.....
Yaani wewe ulivyokuwa na upeo mdogo unadhani wote tupo hivyo siwezi kuamini stori ya kitoto kama hii...