Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Lissu mroho wa madaraka
 
Mimi kwa maoni yangu Freeman Mbowe bado chadema imamhitaji kama Mwenyekiti

Katika kosa kubwa chadema watafanya ni kumpindua Mbowe ndani ya uongozi
 
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Ndio maana Lissu hakuitwa Ikulu na Mama aliitwa Mbowe peke yake
Akauza uzaliwa wake wa kwanza. Biashara ikaisha. Lissu anahangaika bure Uchaguzi ulishaisha kinachofwata ni ule wa kikatiba
 
Lema kazingua sana, hapo ni kwamba anamkumbusha Lissu ahadi yake wala sio kujibu hoja za Bob Wangwe na wenziwe kama anavyodai.​

Siasa za fadhila ndizo tunazozipiga vita kila wakati, zikitumika kutoa vyeo isivyo kihalali. Leo hii nao wanakumbushana fadhila, ujinga mtupu.
CHADEMA inaendelea kunishangaza siku hadi siku. Leo hii akitokea Mwanaccm akasema maneno anayosema Lema kuwa Lissu alimwambia Mbowe, CHADEMA yote na hao kina Lema watamkosoa na kumuita CHAWA.

Itokee leo Mwigulu au waziri mmoja aseme hawezi kugombea urais anamuachia Samia kwakuwa ni mwema sana kwake amempa uwaziri, uone vile ataogeshwa kejeli na hao akina Lema.

Hii nchi kwasasa ina watu wadhaifu sana wasioweza kushindana na wanapenda kusifiwa na kupongezwa bila sababu na ndio maana uchawa umekuwa ajira rasmi.
 
Lema kazingua sana, hapo ni kwamba anamkumbusha Lissu ahadi yake wala sio kujibu hoja za Bob Wangwe na wenziwe kama anavyodai.

Siasa za fadhila ndizo tunazozipiga vita kila wakati, zikitumika kutoa vyeo isivyo kihalali. Leo hii nao wanakumbushana fadhila, ujinga mtupu.
😂😂😂😂😂😂 Eti kulipana fadhilaa daaa nimejikuta nimechekaa tu madam
 
Ndio maana Lissu hakuitwa Ikulu na Mama aliitwa Mbowe peke yake
Akauza uzaliwa wake wa kwanza. Biashara ikaisha. Lissu anahangaika bure Uchaguzi ulishaisha kinachofwata ni ule wa kikatiba
Ikulu wanaitwa wenye busara, sio vichaa
 
Lema kazingua sana, hapo ni kwamba anamkumbusha Lissu ahadi yake wala sio kujibu hoja za Bob Wangwe na wenziwe kama anavyodai.

Siasa za fadhila ndizo tunazozipiga vita kila wakati, zikitumika kutoa vyeo isivyo kihalali. Leo hii nao wanakumbushana fadhila, ujinga mtupu.
Wewe na nani?
 
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
Lema acha kutoa povu ,binamu yako Mzee Mbowe lazima aachie kiti cha uwenyekiti
 
Wenye busara Tanzania Ndio wezi wakubwa, Si watu wa kuaminika
Lissu aliifilisi LEAT, Lawyers Environmental Action Team, yeye na genge lake, walikodi maofisi kila mahali mpaka jengo la Nyanza kule, wakapiga hela, wakakaa kimya
 
Huyo jamaa Msukule wa Mwenyekiti kitambo kabla hata ya shambulio la risasi.

Wenye akili timamu wote wamewahi kutofautiana na Mbowe walau kwa jambo moja na wakaonesha msimamo wao hadharani ila siyo huyo jamaa.
 
Godbless Lema ameandika ukurasani X

Halafu wakitoka hapo wanasema CCM inatoa Fomu Moja

Siasa za Tanzania pasua kichwa sana aiseee

====

Nimeona andiko la BOB Wangwe na maandiko mengine ya watu wengi pamoja na ushauri wake.

Jibu langu kwenu ni hili ,tukiwa Arusha mahali fulani kwenye mazungumzo yetu ambapo nilikuwepo pamoja na Kamanda Wenje, Heche,Msigwa na Mkti F.Mbowe, Mh Lissu aliongea maneno haya “ Nanukuu “ Kaka , Mwenyekiti , ulibeba chupa ya damu nisife wkt nimeshambuliwa kutoka Dodoma ukiwa umesimama kwenye ndege mpaka Nairobi, na ulikaa Nairobi na wenzako hawa muda wote wa matibabu yangu , siwezi kuchukua fomu utakayogusa kwenye Chama hiki,tusiruhusu wapambe watuharibie CHAMA “.

Maneno haya niliyasikia Mimi, Heche, Msigwa, Wenje na Mwenyekiti Mbowe.Hakuna vita kwenye nafasi ya Urais CHADEMA isipokuwa kuna wapambe wajinga na CCM haswa ktk muelekeo wa siasa 2024/2025.

View attachment 2981595
kwani tatizo likowapi sasa
 
Lema kazingua sana, hapo ni kwamba anamkumbusha Lissu ahadi yake wala sio kujibu hoja za Bob Wangwe na wenziwe kama anavyodai.

Siasa za fadhila ndizo tunazozipiga vita kila wakati, zikitumika kutoa vyeo isivyo kihalali. Leo hii nao wanakumbushana fadhila, ujinga mtupu.
Ndio maana nilijiondoa kushabikia siasa za Tanzania
 
Back
Top Bottom