General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,121
- 2,298
Ndo maana nikakwambia ni utofauti hata wewe unaweza kuingia kweny system au kuwa na kipato kikubwa na wanao wakafika mbali...Hata marekani sio wote wanaokula keki ya taifa kuwa na akili.Kwa nini viwe tofauti? Kwa nini wao wafanye kazi BOT, kazi za Umoja wa Mataifa na kwingineko? kama ni shida ya kazi hata watoto wa Waziri wawe na shida na kazi.
Watoto wao wanafanya kazi New York theb wanakuja kuwahadaaa wajinga nyie kwamba kaendesheni toyo na kasomeni Ualimu
Unafiiri atafanya nn? Kwan hawapo wanaozeeka na kuishia kuumwa mapafu! Boda boda risk is80-90%Kwa hiyo bodaboda anazeekea kwenye bodaboda au?
Kama naniHoja ya Mhe Lema ni kwamba, watoto wa Viongozi wanapewa ajira zenye staha kwa upendeleo pasipo kufuata utaratibu
Kwanini unafanya baba ntilie kwanini isiwe kazi nyingine?Mimi baba ntilie mkuu.
Nitajie watano unaowafahamu wewe kima..Unafiiri atafanya nn? Kwan hawapo wanaozeeka na kuishia kuumwa mapafu! Boda boda risk is80-90%
Zile scholarship za kwenda kusoma like USA ,Canada France,Sweden , Amsterdam yaani zile nchi nzurinzuri Ni watt wao ndio wanaoendaMkuu nchi ina wajinga sana, wao watotobwao wako hadi Umoja wa Matifa huko New York, tena wameajiriwa kwa Vimemo, huku watoto wa Choka mbaya wakiambiwa waende Ualimu na TOYO
Nani kakudanganya wanaenda watoto wao tu?Zile scholarship za kwenda kusoma like USA ,Canada France,Sweden , Amsterdam yaani zile nchi nzurinzuri Ni watt wao ndio wanaoenda
Sorry bro mimi nimeajiriwa nafanya kampuni ya kilimo, ni vile tu tumezoea shida na kuona ni kawaida. Ila hiyo kazi ya boda boda hapana kwakweli watu tubadili mitazamo pengine.Kwanini unafanya baba ntilie kwanini isiwe kazi nyingine?
Za undergraduate degree Ila Masters nadhani inakuwa Cha wote.Nani kakudanganya wanaenda watoto wao tu?
Sasa wewe unataka wafanye kazi gani?Sorry bro mimi nimeajiriwa nafanya kampuni ya kilimo, ni vile tu tumezoea shida na kuona ni kawaida. Ila hiyo kazi ya boda boda hapana kwakweli watu tubadili mitazamo pengine.
Kama nchi unadhani kuwaingiza vijana hawa wa miaka 15 hadi 30 kwenye kazi ya uboda boda itaisaidia nchi kupiga hatuaNi mfano usio sahihi wala hauna mantiki hii ni duni vipato ni tofauti kila mtu na riziki yake na utaftaji wake ...Atambue kwamba hata ambao Wana vipato vya juu ni wachache sana mno .
Yeye ni mwanasiasa na wenzio wanasiasa wanajua kuanzia kupiga dili na kuiba , sio lazima kwani hapo unagusia wananchi wa hali ya chini kabisa.. wanasiasa wote sijui lema na wenzio CCM wote akili sawa wao ndo wanufaika na pesa za wananchi ...je hao bodaboda waache kazi then waende wapi?
Kuna watu wamekaa nje miaka mpaka 20 ila wanaporudi bongo wanajua Kuna tofauti ya kule na huku ...wale wenzetu wameendelea sana unaweza kutoka kule baada ya kukaa sana ukaja bongo ukapaona kama pananuka ila ukiwa na akili unalow matarajio ukirudi bongo kwamba hapawezi kuwa kama ughaibuni
.Wenzetu miaka miwili basi kila kitu anaona kinyaa ni ushamba mtupu ..
Kuna kuna ku adapt habits and neuropathway za umasikini unaona uko sahihi. Jamani boda risk Ni kubwa kwa maisha yake yaani Sana mno. Safety Ni ndogo.Sorry bro mimi nimeajiriwa nafanya kampuni ya kilimo, ni vile tu tumezoea shida na kuona ni kawaida. Ila hiyo kazi ya boda boda hapana kwakweli watu tubadili mitazamo pengine.
Nina ndugu zangu wawili mmoja algeria na mwingine anasoma USA na sio watoto wa vigogo wameenda kusoma degree baada ya kufaulu vizuri kwa kuwa gpa kubwaZa undergraduate degree Ila Masters nadhani inakuwa Cha wote.
Hapo sasa ndio tunaletwa pamoja dhidi ya ujumbe anao tupa Lema, kwamba serikali imeshindwa kurahisisha fursa zilizopo ili watu wake wafanye kazi zenye kuwahakikishia usalama wao na zenye tija.. Badala yake wao wanajinufaisha na vizazi vyao halafu nyinyi wanawaaambia eti boda boda ni maisha.Sasa wewe unataka wafanye kazi gani?
Haya alitakiwa sasa akawaeleze Mh Majaliwa na Mh Mwinyi. Kuwaeleza bodaboda wenyewe ni kuwakashifu.Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Lema amesema endapo atamuona mtoto wa Waziri mkuu mh Majaliwa au mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo ataomba radhi.
Lema amesisitiza Kuwa Bodaboda ni Kazi isiyofaa inayouwa na kuwapa ulemavu Vijana Wengi.
Lema amenena haya kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Mlale Unono!
======
"Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa au Mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha bodaboda na kudai ni kazi ya heri nitaomba radhi. Bodaboda ni kazi ya mateso,imeumiza watu na kujeruhi watu wengi.Acheni kudanganywa na Serikali iliyo kosa mbinu za kuokoa maisha yenu. Umasikini sio sifa."
View attachment 2539929
Unamwambia yeye apambanie maisha ila wakati anapambania anatozwa kodi halafu hiyo kodi inawanemeesha watoto wa wengine aisee hii haiko Sawa unaonajeNdo maana nikakwambia ni utofauti hata wewe unaweza kuingia kweny system au kuwa na kipato kikubwa na wanao wakafika mbali...Hata marekani sio wote wanaokula keki ya taifa kuwa na akili.
Hao chadema na CCM ndo walewale hawana jipya pambania familia yako
Wapo bodaboda wametoboa na wengine wanalisha familia zao hivi nikuulize Kati ya bodaboda na yule cashier wa Mlimani city s yupi anaingiza hela zaidi?Hapo sasa ndio tunaletwa pamoja dhidi ya ujumbe anao tupa Lema, kwamba serikali imeshindwa kurahisisha fursa zilizopo ili watu wake wafanye kazi zenye kuwahakikishia usalama wao na zenye tija.. Badala yake wao wanajinufaisha na vizazi vyao halafu nyinyi wanawaaambia eti boda boda ni maisha.