ascat mgona
Member
- Dec 21, 2012
- 28
- 5
Mapinduzi ndo silaha ya kweli ccm watakubali tu wenyewe kuwa hawa jamaa ni noma
Masalia & Co plus Washauri wao pamoja na wafadhili wao Wakanywe sumu ya panya sasa au wasage chupa wanywe. Kudos Lema, Bravo CDM.
Pole sana maana ndiyo kazi imeanza na hao mgambo wenu mnaowatumia kunyanyasa mama zetu pale NMC ni mwisho mwambie kabisa na huyo mmeo mkurugenzi na meya wa kuchonga bila kuwasahau machizi wa magogoni kuwa Lema karudi huo uhuni wao tutautokomeza...Kwa kuanzia tu maandamano na vurugu zisizo na tija yanaanza lema atakapowasili arusha. Shuguli za maendeleo zitasimama kwa muda. Tourism industry itapata shida barabarani kwa kufungwa njia na wazee wa viroba ambao ni jeshi la lema. Watalii hawatakuwa na amani. Mungu amesaidia barabara nyingi zimejengwa wakati hayupo maana fedha za un zingewezatokomea kusiko julikana angekuwepo kwenye vikao.(arusha bila mbunge lema inawezekana)
Mkuu, nawe...!january makamba aliandika kwenye fb yake kuwa lema anavuliwa ubunge kabla hata ya hukumu .... alifurahi sana ... sijui leo yu wapi