Lema: Arusha hakuna CCM

Lema: Arusha hakuna CCM

Wiki iliyopita nilipitia Arusha nikitokea Nrb nakukaa hapo Sikh 3. Nikakugundua kumbe Arusha hakuna CCM wala Chadema. Kuna ChaLema tu.
 
Nitashangaa sana kwa watu wa Arusha wastaarabu kuchagua tena hiki kinyesi.
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.

Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema


Godi CCM ipo kila mahali, kusema haipo unajaribu kupingana na ukweli. Hawa ndio washindani wako, Philimon Mollel, Deo Mtui, Victor Njau, Dk Harlod , Justin Nyari, Mustafa Panju(Bush back) Godi Mwalusamba . Hawa ni kwa uchache.
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.

Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

Eti ni bandiko la Mbunge hili! Kweli Bado tuna safari ndefu.
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.

Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

Hivi unafahamu Arusha kuna majimbo mangapi ya uchaguzi?

Unafahamu ya CCM ni mangapi na ya CHADEMA ni mangapi?
 
Lema anza kuwaaga wana Arusha mapema Mchungaji Mwakasege anakuja kulichukua jimbo la Arusha Mjini
 
Jimbo la Arusha Mjini linachukuliwa na mchungaji mwakasege kwa tiketi ya CCM.
 
Ahsante mkuu twende kihoja nimaendelewo gani yalio pungu yakuto pato la alimashauri kwenye milioni na kwenda bilion ndio ukupungua kurudisha viwanja vya wazi vilivyo uzwa kinyemela ndio maendeleo kupungua? Naomba uniambie maendeleo yame pungua wapi mkuu na ukumbuke Mh lema kafanya kazi mdaa gani pia.

Watalii wamepungua sana Arusha kwa ajili ya vurugu za chadema
 
Back
Top Bottom