Lema: Arusha hakuna CCM

Lema: Arusha hakuna CCM

Mkuu usijaribu kufuta mjadala ambao ni wakotaifa kuhusu utesaji na ugaidi uliofanyika kwenye chumba cha kutesea watu pale ufipa Guantanamo!

Na mnukuu Khalidi

" “Jamani hiki chama ambacho kina ndoto
ya kuchukua nchi leo kinaandaa
mipango ya mauaji na utesaji kama
walivyonifanyia? Maana wameniteka na
kunifungia kwenye chumba cha utesaji
wanachomiliki wao wamechoma visu na
kuweka kwenye Mashine ya umeme bila
kosa lolote, eti wakinishinikiza mimi
nitaje wanaonituma, jamani nawaambia
mimi hanitumi mtu” ameedelea kusema
Kagenzi.

Ruttashobolwa=Kagenzi=Ruge=Koku=Tiba= Ukoo wa Wapenda Pesa, wote wa kule kule alipoposhitukia mwl Nyerere.
 
Godi CCM ipo kila mahali, kusema haipo unajaribu kupingana na ukweli. Hawa ndio washindani wako, Philimon Mollel, Deo Mtui, Victor Njau, Dk Harlod , Justin Nyari, Mustafa Panju(Bush back) Godi Mwalusamba . Hawa ni kwa uchache.

Kwa nini wagombea wa chama chetu pendwa ccm ni wauza madawa,jambazi,tapeli au fisadi?
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.

Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

Ni kweli
 
Jimbo la Arusha Mjini linachukuliwa na mchungaji mwakasege kwa tiketi ya CCM.

Nolikuepo kwenye mkutano wa mchungaji mwakasege jangwani dare es salaam. Nimemsikia akisema yeye hana chama na mimtumishi wa mungu hila haki yake yakupiga kura ipo palepale yeye anafanya kazi ya MUNGU pekee.
 
CCM haipo arusha na kama wapo basi ni viongozi wa chama tu tena na wenyewe huwa wanasema wapo kule kwaajili ya hela ila kura wanampa lema
 
fisi msalani uko wapi?njoo uone kamanda akifanya yake mwezi wa kumi usipoangalia utakufa kwa presha
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.

Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema



Umenena Kamanda wangu!!!!!
 
Lema anza kuwaaga wana Arusha mapema Mchungaji Mwakasege anakuja kulichukua jimbo la Arusha Mjini

Kwani Mwakasege ni mchungaji? Labda kama anachunga Mbu.nye ya mam'ko! Hivi naye anajua kutoa rushwa? Maana bila rushwa hawezi kupitishwa na maccm!! Na akipitishwa atachuma aibu!
 
Umenena sawa kabisa Kamanda Godbless J Lema. Hata mimi nilijionea nilipokuja huko. Mtashindana CHADEMA wenyewe chamani mwenu

Haya ndo uliyojionea Arusha

Kisiasa: Arusha ni ngome imara ya CHADEMA. Lakini CCM bado iko imara na inaendelea kuendesha siasa zake za ndani na nje. Wananchi wa Arusha wanashiriki katika siasa za jiji hilo kama sehemu ya maisha yao za kila siku. Kimsingi,hakuna asiyefuatilia siasa pale na nchi nzima. Wana-Arusha ni wanasiasa wa kuzaliwa.

Kiuchumi: Arusha kuna uwekezaji wa kutosha kuanzia mdogo hadi ule mkubwa kabisa. Uchumi wa Arusha unaonekana kwa macho.Hata vijana wa kawaida kabisa ni watafutaji wasiochoka na wanajitahidi kujiepusha na uvivu usio na maana.Lakini kuna changamoto za barabara hasa za mitaa. Hizi bado hazijaimarishwa vya kutosha.

Kijamii: Wana-Arusha ni marafiki, wasemaji wazuri, na wakarimu. Arusha ni tulivu na salama. Kuna changamoto tu kama za Dar na kwingineko za madadapoa.

Kielimu: Sekta hii sijaisoma vizuri kwa muda niliokuwa pale.

Kimichezo: Wana-Arusha ni wafutiliaji na washiriki wazuri wa michezo.

Hongereni wana-Arusha na mtafute suluhisho la changamoto mlizonazo. Asanteni sana kwa kutu-host kwa uzuri Mawakili Wasomi wa nchi hii na nyingine.
 
Ukiwa unatokea Moshi baada ya kupita Bomang'ombe kuna kibao mkono wa Kulia kimeandikwa SASA UNAINGIA CHADEMA! Hata watu wa TANROAD wanakijua na wamekiacha!
 
Back
Top Bottom