nemulo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,589
- 441
....Jimbo la Arumeru Magharibi tunasubiri Chadema itangazwe mshindi olemedeye kwa heriiii
Huyo Ole Medeye hata yeye mwenyewe hataki tena kugombea kwasababu anajua ni kupoteza tu muda na pesa za chama chake wakati Chadema itashinda mwaka huu hata bila kampeni.