Bibititi1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 464
- 221
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.
Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema
Leo nimeamini Arusha tuna mropokaji hakuna muwakilishi ,hivi unafikiri wananchi wameridhika na ahadi hewa ambazo hujatimiza mmpaka Sasa zaidi ya kuleta machafuko vurugu Kila siku na police ...wapi machinga complex arusha ,community center ,huduma ya maji kwa mworomboo na maeneo mengine mara yako ya mwisho kufanya mkutano na wananchi wa kata kujua matatizo Yao,
Mwizi na mlevi mkubwa unaropoka Kila mahali hakuna anayevumilia ujinga Wako sema kwakuwa chama chako hakina Demokrasia watakupitisha Tena ugombe na utakuwa mwishooo wako kabla watu hawajageuza chapati asubuhi na mapema.....bora kuongozwa na mmbwa lakini sio wewe