Lema: Arusha hakuna CCM

Lema: Arusha hakuna CCM

CCm Arusha wamefirimbwa vibaya...wachague maeneo mengine ya kucheza shere lakin siyo A town
 
Nitafutie fisi wangu mkuu nime mwelewa sana akija bila jazba sasaivi nitaanza kumpa elimu ya uraia maana ajitambui

Wakishalambiswa ugoro wa lumumba siyo rahisi akakuelewa kwani huoni kila saa wanavyopiga chafya humu ndani
 
Lema ni kweli utashinda, Arusha tatizo ccm wanafanya siasa za kikabila na Hawajui Arusha inataka siasa gani
 
Back
Top Bottom