Le Mutuz anatarajia kufunga ndoa

Kula kulala na kuwapa ujauzito house girls ndiyo kazi ya lemutuz
 
Kula kulala na kuwapa ujauzito house girls ndiyo kazi ya lemutuz
 
siwezi jibizana na le super mbururaz, hao ni debe dubu le super gademuz haaa haa!! uknow "im humbled" lemutuz.
 
hahahaha uknw super gadem mburulaz mnahangaika sana na hamjui naendele kuingiza hela! uknw nyumba yangu ya vyumba vitatu nimesha imaliza kabisa na nina andaa party ya kufa mtu uknw...mabebiz wakarez watakuwepo kwenye ufunguz!
Supergadem waswahili hamniwez uknw
hahahaha I like it!

View attachment 210821
bwana harusi enzi za utoto super handsome u know....

Achana na lemutuz

Leo nimepatwa na upepo wa kupiga kura...




Nishatoka serikali ya mtaa

Nimehamia miss world

Hakika anastahili kuwekwa ndani ya katiba kwa maana ni TUNU ya taifa! Ha ha ha u know
Sio mbaya tukikumbuka tulikotoka.
Enzi hizo tunamuelewa sana jamaa yetu kabla hata ya ujio wa MSAGA SUMU
 
Back
Top Bottom