Kubwa jinga bado linaenda school bashHahahaaaa jamani hicho kipensi???
Mkuu huu uzi umeupata wapi?Kubwa jinga bado linaenda school bash
hahahaha uknw super gadem mburulaz mnahangaika sana na hamjui naendele kuingiza hela! uknw nyumba yangu ya vyumba vitatu nimesha imaliza kabisa na nina andaa party ya kufa mtu uknw...mabebiz wakarez watakuwepo kwenye ufunguz!
Supergadem waswahili hamniwez uknw
hahahaha I like it!
View attachment 210821
bwana harusi enzi za utoto super handsome u know....
Achana na lemutuz
Leo nimepatwa na upepo wa kupiga kura...
Nishatoka serikali ya mtaa
Nimehamia miss world
Sio mbaya tukikumbuka tulikotoka.Hakika anastahili kuwekwa ndani ya katiba kwa maana ni TUNU ya taifa! Ha ha ha u know
Ha ha ha ha ha dah nimeona hiyo picha ya utotoni ya Lemutuz nmechekaSio mbaya tukikumbuka tulikotoka.
Enzi hizo tunamuelewa sana jamaa yetu kabla hata ya ujio wa MSAGA SUMU