Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,521
- 65,203
kumbe pensi katoka nazo mbali ha ha ha i love it...
Haha haaaaaaaa!Jamani nimecheka balaa
kumbe pensi katoka nazo mbali ha ha ha i love it...
Le Mutuz ana mwili mkubwa lakini brain yake ndogo sana...juzi aliingilia ugomvi kwenye familia ya mama mmoja aliyezuia watoto wake wasisafiri kutoka marekani kuja kumzika baba yao on family grounds... Lemutuz akaandika kwenye website yake akiwasihi watanzania wanaoishi marekani wamtenge huyo mama kwani alichokifanya kwa mujibu wa Lemutuz ni kitu kibaya sana...maskini baba huyu hakujua kabisa anaingilia mambo yasiyo muhusu wacha atukanwe na kaka wa dada aliyezuia watoto wasije bongo...baada ya hapo eti matusi yale ana yaposti face book anatafuta sympathy kwa watu....Holy cow!!!Hii ni kutoka vyanzo vya kuaminika.Baada ya huyu ndugu yetu kuishi maisha ya ubachelor miaka mingi sasa kaamua kufanya kweli.Harusi mapema mwakani
Le Mutuz akiwa na Mbebez wake.Yaani wanapendana hadi wanaumwa kwa mpigo.
Haha haaaaaaaa!Jamani nimecheka balaa
Le Mutuz ana mwili mkubwa lakini brain yake ndogo sana...juzi aliingilia ugomvi kwenye familia ya mama mmoja aliyezuia watoto wake wasisafiri kutoka marekani kuja kumzika baba yao on family grounds... Lemutuz akaandika kwenye website yake akiwasihi watanzania wanaoishi marekani wamtenge huyo mama kwani alichokifanya kwa mujibu wa Lemutuz ni kitu kibaya sana...maskini baba huyu hakujua kabisa anaingilia mambo yasiyo muhusu wacha atukanwe na kaka wa dada aliyezuia watoto wasije bongo...baada ya hapo eti matusi yale ana yaposti face book anatafuta sympathy kwa watu....Holy cow!!!
Le Mutuz ana mwili mkubwa lakini brain yake ndogo sana...juzi aliingilia ugomvi kwenye familia ya mama mmoja aliyezuia watoto wake wasisafiri kutoka marekani kuja kumzika baba yao on family grounds... Lemutuz akaandika kwenye website yake akiwasihi watanzania wanaoishi marekani wamtenge huyo mama kwani alichokifanya kwa mujibu wa Lemutuz ni kitu kibaya sana...maskini baba huyu hakujua kabisa anaingilia mambo yasiyo muhusu wacha atukanwe na kaka wa dada aliyezuia watoto wasije bongo...baada ya hapo eti matusi yale ana yaposti face book anatafuta sympathy kwa watu....Holy cow!!!
umeona le big tshirt pia ha ha ha
kumbe pensi katoka nazo mbali ha ha ha i love it...
umeona le big tshirt pia ha ha ha
Hahahahaaaaa kumbe Le Mutuz ndiye mtz aliyeishi marekani muda mrefu kuliko wote?...lol
Hakika anastahili kuwekwa ndani ya katiba kwa maana ni TUNU ya taifa! Ha ha ha u know
Achana na lemutuz
Leo nimepatwa na upepo wa kupiga kura...
Nishatoka serikali ya mtaa
Nimehamia miss world
Heheheh chezea le baharia wewe
Anapenda kurukia mambo ili apate umaarufu mbuzi
Ruttashobolwa.... ktk pita pita yangu insta nimekufuma mahaliiiiii
Nimefurahi kukufahamu
Ingawa hunijui loh
Ruttashobolwa.... ktk pita pita yangu insta nimekufuma mahaliiiiii
Nimefurahi kukufahamu
Ingawa hunijui loh
Umepinda wewe nimechekaje sasa
Halafu ukitizama picha ni kweli kabisa
Heheheh chezea le baharia wewe
Anapenda kurukia mambo ili apate umaarufu mbuzi