Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu

Hivi kwa nini waasi hawakuyalipua hayo matank ya wafaransa au hawakupewa ruhusa na wakubwa wao wa Tz
Mkuu hamna cha matank wala nini mafuta/Gas bado yapo baharini kutoka hapo Afungi Palma yalipo makazi yao ni KM40 Mpka ilipo hyo gesi ktkt ya bahari huko sasa hivi ndo walikuwa kwenye process za kufunga plant nchi kavu kwa ajili ya kufua gesi ila ndo hvyo kabla hawajaanza ndo alshababy wakaharibu na kazi ikafungwa!
 
Nakupenda nchi yangu lakini wengne wanapofanya vizuri bs tuwapongeze Rwanda wamepambana na wamefanya vizuri swala la maslahi hakuna nchi inapeleka jeshi mahali pasipo maslahi uo ndo ukweli
 
kifupi SADC wametia aibu sn...yaani walikuwa wanawaogopa wazee wa suruali fupi Rwanda wamemaliza kazi ndani ya wiki 3 tu kazi imeisha...sasa eti Sadc sijui wanaenda kufanya nini wakati hkn walichokifanya zaidi ya miaka 3 nyuma
 
kifupi SADC wametia aibu sn...yaani walikuwa wanawaogopa wazee wa suruali fupi Rwanda wamemaliza kazi ndani ya wiki 3 tu kazi imeisha...sasa eti Sadc sijui wanaenda kufanya nini wakati hkn walichokifanya zaidi ya miaka 3 nyuma
Hivi hizi taarifa mnazitoa wapi hadi sasa waliouliwa wametajwa 30 wa shambulizi la kwanza na 13 shambulizi la pili unaposema wamemaliza kazi unataka kutuaminisha idadi yao ilikuwa ndio hiyo wakati bado kuna maeneo bado hayajakombolewa bado Rwanda wanafanya kazi haswa ila sio ndio kuwapa sifa zisizokuwa za kwao bado mapema tuombe mungu watoboe
 
kagame ni mjanja anaenda kwa maslahi ya mafuta kama alivyopeleka majeshi DRC kongo kwa maslahi ya dhahabu alichuma sana. huko msumbiji akifaulu hatoki leo na mafuta atachukua na kuijenga rwanda
 
Bado mko usingizini nyie, vita ni biashara kubwa sana, Rwanda wanavuta za kutosha, hii sio misaada kama enzi za Nyerere kuwasaidia wapigania uhuru wa nchi za kusini
 
Back
Top Bottom