Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,950
umeona eee..... Tatizo watu hawaijui stand up comedy na watajuta kupoteza hela zao
Wabongo hawajui kucheka. Zile ze comedy na futuhi zinachekeshaga nani?
umeona eee..... Tatizo watu hawaijui stand up comedy na watajuta kupoteza hela zao
![]()
Book Your Ticket Now..
upo sahihi kabisa Omondi ni nomaSijapata kuona clip ya Kansiime akifanya standup comedy kama kina Basket Mouth (nigeria) au Trevor Noah (SA).
Sana anafanya maigizo ya vichekesho....nadhani waandaaji hawajaelewa soko lake ni lipi
Omondi kwa Kenya yuko powa sana
Binafsi namkubali sana Basket Mouth (Two things involved). Anastahili hiyo 90k, ila sio huyu Kansiime!Sijapata kuona clip ya Kansiime akifanya standup comedy kama kina Basket Mouth (nigeria) au Trevor Noah (SA).
Sana anafanya maigizo ya vichekesho....nadhani waandaaji hawajaelewa soko lake ni lipi
Omondi kwa Kenya yuko powa sana
tehe tehe tehe tehe she is so talented clips zake huwa zinanichekesha kweli,na hiyo lafudhi yake
So you are one of her ninjaz (fans)!!!
hahahahahaha
Dad what is condom?
Hivi shoo za wachekeshaji wa Kibongo kiingilio huwa ni pesa ngapi vile?
Njoo kigoma-ujiji manispaa mi niende ilemela au nyamagana
0714713147
Waandaaji mje mtupe mrejesho, I have a feeling wataingia watu 30, ila ndio mtajifunza.
Bahati nzuri I'm not that miserably hadi kulipia 90 kwa ajili ya kuchekeshwa.
Hii ni show ya watu V.I.P