Kwakweli tunaomba jibu la hili. Huyu mdada namkubali sana ila hapo pa elfu 90 ni parefu. Nadhani wanajaribu ku manage crowd.
Hivi shoo za wachekeshaji wa Kibongo kiingilio huwa ni pesa ngapi vile?
Sijawahi kucheka ninapotumiwa vi-clip vyake whattsap.
Ngoja nikamuone live
Mkuu nahisi una upungufu wa figo moja!!!... :becky: :becky:
Nakubali yaishe Konda; mie ni mfupi tena wa haja. Natumai we ni mrefu...Hapo ni parefu au wewe ndio mfupi?
Mkuu nahisi una upungufu wa figo moja!!!... :becky: :becky:
kuna haja ya kuandaa shoo mbagala kule kwa shigongo (sijui jina) kwa buku tano
huwa sh 2,000 na mara nyingi huwa ni bure kwa sababu zinazaminiwa na mitandao ya simuHivi shoo za wachekeshaji wa Kibongo kiingilio huwa ni pesa ngapi vile?
huyu kicheche hawezi kufanya stand up comedyKwakweli tunaomba jibu la hili. Huyu mdada namkubali sana ila hapo pa elfu 90 ni parefu. Nadhani wanajaribu ku manage crowd.
umeona eee..... Tatizo watu hawaijui stand up comedy na watajuta kupoteza hela zaokwa Stand up comedy huyo mdada bado sana, huyo Omondi yuko vizuri sana kwenye stand up..kwa wachache watakaofika watakubaliana na mimi..