Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
king majuto na Mkude simba watakwepo?
she is good... huwa ananichekesha
jana ulinipa ahadi huku i full fill, au furaha ya kilichokuja ilikuteka?
umesema nilichowaza, wanakuambia hakufukuzae hakuambii toka, namkubali sana huyu mdada ila hapa napiga hesabu 90thou na mamsapu another 90 na hamjala na kunywa, mambo mazuri hayahitaji haraka, nilitamani kucheka na Kansime ila inabidi nisubiri mfuko wangu ukue au wakati watakapo weka kiingilio cha uwezo wangu, kwa sasa youtube atanitoa.Huyu dada kiboko kwa kuchekesha.......ila kiingilio bana....labda target ni watu flani classic......wenyewe wanawaita "watu wazuri" .......:msela:
Hahaa ha hahaa lazima apige kijembe kwanza "did you think this little 90000/Tsh=is enough to make you loughing for four hours'?