LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

Wenzetu akili zenu huwa zinaenda likizo? Hizo tickets zinatolewa kama zinavyotolewa risiti za efd au zile fine za traffic
Na kuna ma-bus yanafanya hivi mfano dar lux

Ni lazima tukubali kadri mida utavyoenda teknolojia itabadilisha vingi. Kuna vitu vingi tuko nyuma hata hili nalo tumechelewa tu.
Ko!!bila shaka serikali ipo sahihi?

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Inamaana we ndo kwanza unasikia leo kukatisha tickect kwa njia hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wenye mabasi basi waanzishe mgomo nao wa nchi nzima,maana isije kujitokeza yale ya vitambulisho vya nida,.waliweka kikomo kabla watu hawajaelimishwa zaidi.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Ni kawaida watu hawapendi mabadiliko
Mabadiliko yana changamoto zake mzee hususani kama hamjajiandaa, au hakuna elimu ya kutosha iliyotolewa, imekua ni kama kulazimishana tu kwa kitu ambacho kinahitaji ufahamu pande zote mbili kwa abairia mtumiaji wa hiyo huduma na hata kwa mtoa huduma
 
Ni kawaida watu hawapendi mabadiliko
Mabadiliko yana changamoto zake mzee hususani kama hamjajiandaa, au hakuna elimu ya kutosha iliyotolewa, imekua ni kama kulazimishana tu kwa kitu ambacho kinahitaji ufahamu pande zote mbili kwa abairia mtumiaji wa hiyo huduma na hata kwa mtoa huduma
 
Daah

My sister Sasa wenye mabus wagome Vipi wakat wao ndio wanafurahia sana, MAANA hawata toa fedha kwa madalali kila siku

Daaah nisikitie tuu kwa hiki unachokitetea
Kwa hii mada ndio uone watu wengi hawana ubongo, mwingine mara anakuambia sijui simu vijijini hakuna mtandao. Mwingine sijui sio wote wenye smartphone.
Hawaelewi hata huo mfumo ni kama ule wa efd.
Kuna mabus wanatumia huu mfumo muda mrefu sana
 
Maeneo mengi MTANDAO Ni shida, Sasa sijui mteja analipaje iyo tiketi
Miaka 2 iliyopita wamiliki wa mabasi walikutana kujadili suala hili. Kwenye kile kikao bwana Joseph Kasheku "King Msukuma" naye alikuwapo kama mmliki wa mabasi.

Siku hiyo aliongea hoja yake ni Kwa mabasi yanayofanya safari za vijijini ambapo mtandao ni shida itakuwaje, kama tiketi zikigoma kutoka Kwa hiyo na Basi lisiondoke kufanya safari. Akajibiwa mtandao utaboreshwa sehemu zote.
 
Mabadiliko yana changamoto zake mzee hususani kama hamjajiandaa, au hakuna elimu ya kutosha iliyotolewa, imekua ni kama kulazimishana tu kwa kitu ambacho kinahitaji ufahamu pande zote mbili kwa abairia mtumiaji wa hiyo huduma na hata kwa mtoa huduma
Wakati Uber inakuja bongo ni Elimu gani ya Kutosha tulipewa hasa sisi abiria?or wakati Mpesa inaingia kwenye market ni Elimu gani ilitolewa?issue inapokuaga ni ya serikali ndo hua tunalilia Elimu ya kutosha..Elimu ipi sasa tunataka itolewe?Mbona ukienda supermarket ukalipa ukapewa risiti hua hatuombi Elimu ya ile system ya kutoa risiti?Heb tuwe sereous aisee
 
Nakwenda ARK tokea Mlandizi....vipi kuhusu hiyo tiketi ya mtandao
Bus limeharibika njiani tunahitaji refund tuendelee na safari itakuwaje wakati pesa yoote iko kwa mtandao
Kwani hata sasa mabasi ya mikoani wanasafiri na nauli waliyo toza abiria?
Gari ikiharibika wanafanyeje?
Haya mengine yote ni hofu isiyo ya lazima.

Tatizo ni watu wengi kupotezea ajira kama huu mfumo ukiwa fully automated.

Faida kuu ni kuondoa bei za wizi wanazo tozwa abiria na madalali wa bus stands.
 
View attachment 1667700

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.

Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania .
Kwahiyo mtanzania lazima awe na smartphone na lazima awe na bando. Ukiwa huna hivyo vifaa HAKUNA kusafiri!
 
Back
Top Bottom