ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,390
- 49,040
Habari wakuu
LATRA Imesitisha Leseni za usafirishaji Kwa makampuni 22 baada ya kunainika kufanya Hujuma kwenye mfumo wa kufuatilia mwendokasi wa Mabasi.
Swali yaani Kampuni zifanye hujuma Kwa Nchi na usalama wa watu then adhabu yake iwe kusitisha Leseni Kwa Mwezi Mmja?
Huu ni mzaha ms kucheza ma maisha ya Watanzania,Kwa nini wasipelekwe mahakamani wakalipishwa faini ya kuzidi ma Leseni zao kufungiwa miezi kadhaa?
LATRA mnamuogopa nani? Hamuoni watu wanavyokifa Kwa ajali?
=======
Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini (LATRA) imesitisha leseni za usafirishaji abiria kwa mabasi yapatayo 22 yanayofanya safari zake mikoa katika mbalimbali hapa nchini kwa muda wa mwezi mmoja baada ya kuchezea mfumo wa kufuatilia mwenendo wa magari (VTS).
LATRA Imesitisha Leseni za usafirishaji Kwa makampuni 22 baada ya kunainika kufanya Hujuma kwenye mfumo wa kufuatilia mwendokasi wa Mabasi.
Swali yaani Kampuni zifanye hujuma Kwa Nchi na usalama wa watu then adhabu yake iwe kusitisha Leseni Kwa Mwezi Mmja?
Huu ni mzaha ms kucheza ma maisha ya Watanzania,Kwa nini wasipelekwe mahakamani wakalipishwa faini ya kuzidi ma Leseni zao kufungiwa miezi kadhaa?
LATRA mnamuogopa nani? Hamuoni watu wanavyokifa Kwa ajali?
=======
Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini (LATRA) imesitisha leseni za usafirishaji abiria kwa mabasi yapatayo 22 yanayofanya safari zake mikoa katika mbalimbali hapa nchini kwa muda wa mwezi mmoja baada ya kuchezea mfumo wa kufuatilia mwenendo wa magari (VTS).