LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Naona hiyo itakuwa shida kwako. Watanzania wengi hivi sasa wana simu za mikononi hivyo kufanya hiyo shughuli ya kukata tiketi kwenye mtandao ni kazi nyepesi sana.
 
Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.

Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea

Mfumo Stahiki huu kabisa
Yani tuna advance hatua kadhaa mbele

Wewe Unakuja kusema
"Haijajulikama Sababu hasa za kufanya hivyo"
Alafu unajifanya unatoa na Tahadhali kabisa daah
 
Naona hiyo itakuwa shida kwako. Watanzania wengi hivi sasa wana simu za mikononi hivyo kufanya hiyo shughuli ya kukata tiketi kwenye mtandao ni kazi nyepesi sana.
Sifa ya watawala wa Tanzania hiyo... kuongoza kwa amri... Na sasa hivi wameongeza adhabu ya henzerani.
 
Kwani kutumia tket za mtandao kuna changamoto gani?Heb Tuanzie hapo.

Sio kua tunalalamika tu bila facts...Dunia inakwenda kasi sana, hatuwezi kuendelea kutumia makaratasi wakati teknolojia inaruhusu...Tulianza na M-pesa watu wakalalamika bt now tushazoea, Uber nayo tushaizoea...nini shida kwenye ticket za mabasi?

We must embrace the technology and not revolt against it otherwise tutakua tunajichelewesha tu coz piga ua huko ndipo tunapoelekea tutake tusitake, technology will drag you with it hata km huitaki. So lets be optimistic ktk hii issue km kunachangamoto zitatuliwe huku tunaendelea kuitumia kuliko kujichelewesha tukisubiri changamoto zote zitatuliwe.
 
Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Maeneo mengi MTANDAO Ni shida, Sasa sijui mteja analipaje iyo tiketi
 
Aise kuna point hapo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kila kitu ukiangalia kwa jicho la fursa ni fursa mkuu.

Kama mifumo ya kusajili kampuni ipo Brela Tena online lakini Kuna watu Wana ofisi za kusajiri watu kampuni na maisha yanaenda. Kuna watu wanasajiria watu passport wakati ni vitu kila mtu anaweza kufanya online.


Kamata fursa twende zetu.
 
View attachment 1667700

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.

Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania .
Hapa kwa hili wale madalali sasa ni kama kazi yao imeingia mchanga
 
View attachment 1667700

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.

Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania .
Wasitoe ukomo wa kusitisha na adhabu bali watoe elimu zaidi wasafiri tujifunze mfumo mpya wa kielektroniki
 
Sasa mtu wa buchosa ndani ndani akitaka ticket na kwenye mambo ya kutumia mtandao yuko chini inakuwaje hapo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wenzetu akili zenu huwa zinaenda likizo? Hizo tickets zinatolewa kama zinavyotolewa risiti za efd au zile fine za traffic
Na kuna ma-bus yanafanya hivi mfano dar lux

Ni lazima tukubali kadri mida utavyoenda teknolojia itabadilisha vingi. Kuna vitu vingi tuko nyuma hata hili nalo tumechelewa tu.
 
Mfumo Stahiki huu kabisa
Yani tuna advance hatua kadhaa mbele

Wewe Unakuja kusema
"Haijajulikama Sababu hasa za kufanya hivyo"
Alafu unajifanya unatoa na Tahadhali kabisa daah
Tahadhari yangu imelenga migomo ya wenye mabasi
 
View attachment 1667700

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.

Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania .
Mbona maagizo ni mengi kuliko elimu, elimu itolewe basi mfumo uwe rafiki
 
Back
Top Bottom