Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
- Thread starter
- #261
Kumekucha !!
Na usisahau watoto wa wachawi hawanaga dogo, kazi kumsaidia shetani kukukwamishaMoja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.