Lamination mizigo airport Mwanza, ufisadi mpya

Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.

Pale Mwanza mpaka samaki wanakagua ndoo nzimaa. Nasikia huko nyuma kuna nyara zilipita kwa njia hiyo ya kubeba ndoo ya samaki. As a precaution, wanakagua kama hawana akili nzuri.
Viwanja vya ndege mara nyingine vinakuwa kero sana kwa sababu ya ukaguzi. Ila ndio salama ya wasafiri. Kuna wapumbavu wakiachiwa hata kila siku kujilipua hewani hawaoni shida.
 
Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.
Hiyo inaitwa Wrapping na sio Lamination. Halafu hiyo kawaida kwa pale airport ya da ni Sh.16,000. Sasa basi nikupe wazo zuri sana lakufanya ili uwondokane na Kharama zisizo na ulazima. Nunua wrapping lako kwa huku Zanzibar kubwa linauzwa elfu17 na dogo elfu12. Utatumia mpaka utachoka wewe. Mpaka jirani zako utawasaidia kwa wrapping moja. Kila ukisafiri utakuwa unatumia mwenyewe. Pale airport ni hali sana kufanya huduma ya wrapping.
 
Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.
Mtoa hoja nadhani anaongelea gharama,ni vyema tujadili hilo,binafsi nashani kuna hoja ya msingi kabisa ,,gharama ni kubwa
 
Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.
Habari ndugu. Mimi ndio mtoa huduma hapo. Niko tayari kutoa ufafanuzi juu ya suala lako,ninapenda kukuhakikishia na kuwahakikishia wanajukwaa wote kuwa katika viwanja vyote duniani huduma hii si ngeni na hasa katika aina ya mizigo uliyotaja na kuhusu bei ningependa ufanye research kwanza ili uone kama bei tunazocharge hapa utapata kiwanja chochote. Ndoo yoyote ni sh.5000 na kama utaunga mzigo wowote juu itaongezeka kwakuwa ukubwa wa mzigo umeongezeka na hatukulazimishi kuongeza mzigo hapo juu. Pili,utambue kuwa material yanayotumika hayatengenezwi hapa kwetu,tunaimport kutoka nje,tunasafirisha na kwa gharama na yanalipiwa kodi kubwa tu. Pia katika bei hiyo tuna gharama za uendeshaji kama machine,mishahara,kodi za kiwanja,kodi za mamlaka ya mapato na nzuri zaidi bei hiyo inakatwa VAT. ukipiga hesabu unakuta kiasi tunachochaji baada ya makato hayo ni kidogo sana kiasi cha kusikitisha. Kama haujaridhika na majibu haya tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0716990470 inapatikana kwa whatsapp pia,nitakuwa tayari kukueleza zaidi
 
Majibu ya baadhi ya watu kwa mtoa mada, yanaonyesha kiwango cha busara alichonacho mtu... MZIGO WENYE THAMANI YA 5,000/- Nilazimishwe kuweka lamination ya 15,000/-... Mapovu yenu yatoeni kwa uhalisia, si kisa wewe unapenda usafi..... kila mtu akileta akipendacho kule hakuna atakayesafiri... MAANA WENGNE HAWAPENDI KUSAFIRI NA WATU WENGINE

1. KWANI HAKUNA LAMINATION YENYE BEI CHINI YA HAPO?...
2. Kwani hawawezi kuangalia kiasi gani cha LAMINATION kitumike kwenye mzigo upi?... Maana kimzigi kidogo hakiwezi kuwa sawa na mzigo mkubwa unaotumia lamiation zaidi.

By the way, sitashangaa kusikia mmoja au zaidi, waliotoa majibu hayo hawajawahi kusafiri na ndege na kukutana na adha hiyo
Majibu yaliyotolewa hapo juu yapo sahihi..ukiona gharama za kusafirisha hicho kimzigo chako cha 5000 achaa..wakati mwingine gharama zinawekwa kubwa ili kupunguza watu kusafirisha hao samaki kwenye ndege..hivi shombo za samaki bila kudhibitiwa hizo ndege zitanuka.
 
Mkuu mtaani hizo naironi zimepigwa marufuku mkuu, hata airport ukishatua wanakuambia uyatoe maana mtaani ukishikwa nayo umekwisha.
Hiyo inaitwa Wrapping na sio Lamination. Halafu hiyo kawaida kwa pale airport ya da ni Sh.16,000. Sasa basi nikupe wazo zuri sana lakufanya ili uwondokane na Kharama zisizo na ulazima. Nunua wrapping lako kwa huku Zanzibar kubwa linauzwa elfu17 na dogo elfu12. Utatumia mpaka utachoka wewe. Mpaka jirani zako utawasaidia kwa wrapping moja. Kila ukisafiri utakuwa unatumia mwenyewe. Pale airport ni hali sana kufanya huduma ya wrapping.
 
Tufikishie malalamiko yetu.
Habari ndugu. Mimi ndio mtoa huduma hapo. Niko tayari kutoa ufafanuzi juu ya suala lako,ninapenda kukuhakikishia na kuwahakikishia wanajukwaa wote kuwa katika viwanja vyote duniani huduma hii si ngeni na hasa katika aina ya mizigo uliyotaja na kuhusu bei ningependa ufanye research kwanza ili uone kama bei tunazocharge hapa utapata kiwanja chochote. Ndoo yoyote ni sh.5000 na kama utaunga mzigo wowote juu itaongezeka kwakuwa ukubwa wa mzigo umeongezeka na hatukulazimishi kuongeza mzigo hapo juu. Pili,utambue kuwa material yanayotumika hayatengenezwi hapa kwetu,tunaimport kutoka nje,tunasafirisha na kwa gharama na yanalipiwa kodi kubwa tu. Pia katika bei hiyo tuna gharama za uendeshaji kama machine,mishahara,kodi za kiwanja,kodi za mamlaka ya mapato na nzuri zaidi bei hiyo inakatwa VAT. ukipiga hesabu unakuta kiasi tunachochaji baada ya makato hayo ni kidogo sana kiasi cha kusikitisha. Kama haujaridhika na majibu haya tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0716990470 inapatikana kwa whatsapp pia,nitakuwa tayari kukueleza zaidi
 
Dah wasukuma mnafeli sana aisee...hamchelewi beba samaki mkaenda nao ndege kama klm au swiss air mtaishia ziacha pale check in ...mnaambiwa mizigo inachanganyana mle unatakapaka shombo suti za watu huelewi...basi tanguliza mzigo na basi utaukuta visamaki vyenyewe vya buku 5 utadhani dar hamna mabucha..unajua gharama za furmigation za ndege wewe kuondoa shombo
Shida kweli..niko naelekea kucheck in na kibag changu cha kisport naona jamaa ananisalimia kama amebanwa na mlango..ooh brother naomba unisaidie samaki wangu hawa kuingia nao..sikumchelewesha nilimuambia siwezi.
 
Shida kweli..niko naelekea kucheck in na kibag changu cha kisport naona jamaa ananisalimia kama amebanwa na mlango..ooh brother naomba unisaidie samaki wangu hawa kuingia nao..sikumchelewesha nilimuambia siwezi.
Kiusalama upo sawa maana unaweza uziwa msala.
 
Ndege sio.ya kupanda malofa yaani anabweka kulalamikia elfu 15? Aisee .Au tiketi alikatiwa na mwajiri? Kelele hizi huyu atakuwa mfanyakazi.Mtu Mwenye pesa Yake anakata tiketi Malaki kwake elfu 15 is nothing.Kelele hizi Ni za wakatiwa tiketi.Huwa wanaji shebudua Sana utasikia ohh poor service ,too expensive nk kelele na mbwembwe nyingiiiii.Siku ingine usipande ndege panda Fuso kule Wala huhitaji kufanya lamination
Hivi mtu kabisa unalipa nauli ya ndege halafu unalalamikia elfu 15 khaaa.
Kama vipi ajifunze kitokusafiri na mizigo isiyokuwa na maana kama hivyo visamaki alivyosema.
Mimi mara nyingi naenda Mwanza Ila biashara ya kubeba samaki kwangu Ni no
 
Haijalishi thamani ya mzigo wako.

Ina maana kama nafanyia lamination blovk ya gold intakiwa nilipe milioni 50?
Huyo Jamaa Ni mpumbavu Sana yaani visamaki vyake vya elfu 5 analetea hoja za kisenge asababishe mizigo ya watu ipate shombo ya samaki, Jamaa atakuwa ajielewi au ndio mara ya kwanza amaepanda ndege analeta hoja za kisenge ajulikane amepanda ndege
 
Kama unaona lamination ya huko gharama, wapeleke hao samaki wakafanyiwe lamination stationery.

Buku tuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom