Lamination mizigo airport Mwanza, ufisadi mpya

Lamination mizigo airport Mwanza, ufisadi mpya

Ndege sio.ya kupanda malofa yaani anabweka kulalamikia elfu 15? Aisee .Au tiketi alikatiwa na mwajiri? Kelele hizi huyu atakuwa mfanyakazi.Mtu Mwenye pesa Yake anakata tiketi Malaki kwake elfu 15 is nothing.Kelele hizi Ni za wakatiwa tiketi.Huwa wanaji shebudua Sana utasikia ohh poor service ,too expensive nk kelele na mbwembwe nyingiiiii.Siku ingine usipande ndege panda Fuso kule Wala huhitaji kufanya lamination
Kuna wakati namna unayotumia kuwakilisha unachotaka kisikike hufanya uonekane huna pointi.... Kukatiwa tiketi na mwajiri pengine ni sehemu ya mkataba wake wa kazi.... Hivyo ni part ya mshahara.... UNADHANI KWANINI MWAJIRI HUYO ASIKATE TU TIKETI KWA YEYOTE? AU HATA WEWE AMBAYE SI MFANYAKAZI WAKE?
 
Jaribu kubeba waliokaangwa au waliokaushwa uone kama watakudai lamination.
Yaani nikionacho watu wanabisha tu, LAKINI WENGINE NADHANI HAWAJAWAHI KUTANA NA HILI.... pengine hata ndege hawajawahi tumia kusafiri popote
 
1) katika kufunga mzigo hawaiti lamination bali wana wrap up mzigo.

2) kufunga mizigo inasaidia kutokuchafua mizigo ya abiria wengine mara inapofunguka wakati wa ndege ku takeoff na wakati wa landing (kutua)

3) Inaondoa kwa shirika la ndege kulipa compensation yoyote ambayo inaweza kutokea wakati wa uharibifu wa huo mzigo pamoja na mizigo mingine itakayokuwa imechafuka.

4) Wanazuia yale majimaji yatokanayo na samaki yasiharibu kwa kuweka corrosion kwenye cargo compartments (CPT).
 
Pole sana mtoa mada. Nadhan suala la gharama linaangalia mambo mengi.
Mfano kama ni kampuni inabidi ilipe kodi na tozo, na gharama nyingine za uendeshaji.
Nadhan ni jambo la kawaida gharama za huduma kuwa bei juu, ndio kawaida ya hiyo biashara.
Soda mtaani tunanunua 500/= ila restaurant za airport haiwezi kuwa chini ya 3,000/=.
Pole sana kama serikali na shirika likiweka mazingira rafiki kwa wafanya lamination huenda gharama ikawa nafuu.
 
Majibu ya baadhi ya watu kwa mtoa mada, yanaonyesha kiwango cha busara alichonacho mtu... MZIGO WENYE THAMANI YA 5,000/- Nilazimishwe kuweka lamination ya 15,000/-... Mapovu yenu yatoeni kwa uhalisia, si kisa wewe unapenda usafi..... kila mtu akileta akipendacho kule hakuna atakayesafiri... MAANA WENGNE HAWAPENDI KUSAFIRI NA WATU WENGINE

1. KWANI HAKUNA LAMINATION YENYE BEI CHINI YA HAPO?...
2. Kwani hawawezi kuangalia kiasi gani cha LAMINATION kitumike kwenye mzigo upi?... Maana kimzigi kidogo hakiwezi kuwa sawa na mzigo mkubwa unaotumia lamiation zaidi.

By the way, sitashangaa kusikia mmoja au zaidi, waliotoa majibu hayo hawajawahi kusafiri na ndege na kukutana na adha hiyo
Nimesikitishwa sana na baadhi ya majibu, nadhani ni suala la uelewa.
 
Daladala tu wakali mno ukibeba samaki wanaogopa Basi lao kunuka shombo la samaki sembuse ndege.Mleta mada unapaswa ujue harufu ya misamaki yako yaweza rukia kwenye mizigo na mabegi ya watu wastaarabu .Mtu anashuka airport anabeba begi lake linanuka samaki wakati yeye hakubeba samaki.mindoo yako ujue inawekwa sehemu Moja na mizigo mingine.Hiyo laminationi Ni ya kudhibiti harufu pia isirukie mizigo mingine shirika likapoteza frequent flyers Kama sisi kisa midoo yako na vibox vyako vya samaki
Kwa nini wao ndo wasitake trouble ya kutengeneza sehemu maalum kwa aina ya mizigo? Mbona kuna choo na huwa hakinuki? Unajua ndege huwa inasafiri na kinyesi na mikojo?
 
Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.
Awamu hii jambo lolote haliwezi kufanyika bila baraka zote kutoka kwa jiwe,ila wananchi mkipaza sana sauti kwamba mnaumizwa atakurupuka kama vile hajui ili apate kiki
 
Kwa nini wao ndo wasitake trouble ya kutengeneza sehemu maalum kwa aina ya mizigo?
Watafute fundi welding atengeneze ka sehemu special ka kwako ka kuweka ndoo zako za samaki!!!!! Hii Kali
 
Ndege sio.ya kupanda malofa yaani anabweka kulalamikia elfu 15? Aisee .Au tiketi alikatiwa na mwajiri? Kelele hizi huyu atakuwa mfanyakazi.Mtu Mwenye pesa Yake anakata tiketi Malaki kwake elfu 15 is nothing.Kelele hizi Ni za wakatiwa tiketi.Huwa wanaji shebudua Sana utasikia ohh poor service ,too expensive nk kelele na mbwembwe nyingiiiii.Siku ingine usipande ndege panda Fuso kule Wala huhitaji kufanya lamination
Hahahaha, husitahili kujiita Yehova.
 
Mbona bei za kawaida tu siunajua usafiri wa ndege usalama ni kipaumbele?
Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.
 
Mimi siku ya kwanza nilishangaa mbona bei ghali hivyo mana nililipa 16000,hiyo machine ni mtu kaweka hapo anagawana na mkubwa hapo airport yani ni ufisadi
Inauma sana. Ukiangalia hata ukubwa wa lamination ni sawa na mfuko wa 500 ila unatozwa 5,000 hadi 15,000.
 
Kuna wakati namna unayotumia kuwakilisha unachotaka kisikike hufanya uonekane huna pointi.... Kukatiwa tiketi na mwajiri pengine ni sehemu ya mkataba wake wa kazi.... Hivyo ni part ya mshahara.... UNADHANI KWANINI MWAJIRI HUYO ASIKATE TU TIKETI KWA YEYOTE? AU HATA WEWE AMBAYE SI MFANYAKAZI WAKE?
Jibu swafii kabisa.
 
Ndege sio.ya kupanda malofa yaani anabweka kulalamikia elfu 15? Aisee .Au tiketi alikatiwa na mwajiri? Kelele hizi huyu atakuwa mfanyakazi.Mtu Mwenye pesa Yake anakata tiketi Malaki kwake elfu 15 is nothing.Kelele hizi Ni za wakatiwa tiketi.Huwa wanaji shebudua Sana utasikia ohh poor service ,too expensive nk kelele na mbwembwe nyingiiiii.Siku ingine usipande ndege panda Fuso kule Wala huhitaji kufanya lamination
YEHODAYA, siku hizi ndege ni usafiri wa Malofa- watu wanapanda na kubazi, open shoes.
 
Nimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?

Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.

Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.

Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.

Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.
Poti unaonekana ni mara ya kwanza kutumia huu usafiri wa mzee wa hapa kazi...maana hata lugha za huko hujazielewa na unaleta lugha za stationary unapokwenda kufanya lamination ya vyeti vya magumashi ili visijulikane kama ni gushi... huku huwa tunaita wrapping
 
Back
Top Bottom