spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Kila Airport wanafunga mizigo yote inayovuja na hasa samaki wao wenyewe. Pale Entebbe ni sh 30,000/= za Uganda. Hawaangalii ukubwa bali wanatoza kila mzigoNimejiuliza sana, kwanini lamination ya mizigo inayodhaniwa inaweza kuchafua ndege mfano ndoo ya samaki iwe lazima kufanyiwa lamination tena kwa gharama kubwa vile?
Abiria umefunga vizuri samaki zako kwenye ndoo safi lakini unalazimishwa kufanya lamination.
Kama wenye ndege hawataki kuchafua ndege yao basi wao ndo wawajibike kutengeneza sehemu ya kuhifadhia mizigo michafu.
Siku moja nimeunganisha kibox na kindoo kidogo nikaambiwa lamination ni 15,000 ilihali mzigo mmoja ni 5,000.
Halafu mbona Mwanza tu ndo wenye hizi lamination?? Au hii ni biashara ya nani??.