Lamborghini langu hili hapa

Land Rover: Ikiwa ya polisi inaitwa TZR, Ikiwa model ya 109 inaitwa ndondo,
Scania: mende

Hili tuliliita Leyland CD

Ashlok_Leyland_old_Indian_bus.jpg
 
Utalitembeza mtaa gani Tanzania, kwani hata kwenye lami mpya tunaweka matuta.
 
Kwani Land Rover au Scania kwa Kiswahili yanaitwaje?

Land Rover ni lendi lova, Scania ni skanya, RAV 4 ni lava foo, Mitsubishi ni Mistubishi, Toyota Hiace ni Toyota Haisi, Hilux ni Hilaksi, tukumbushane mengine
 
Kitu chenyewe...walijua ukiwa na kitu kama hicho utaweka totos mpaka nyuma...sasa kuna siti 2 tu. Yani wewe na mkeo hakuna kimwana...ehhehe!
 
Back
Top Bottom