Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Umemtumia ya kutolea? maana voda wanafanya yao hewani. Acha kutoa pesa kwa kulia lia!, anakufundisha ili uache ujinga! kuna wenzio wanamrushia pesa ndefu na yakutolea huwa wanampa. Pia wanarusha na vocha ili ajiunge na kifurushi
 
Sio siri......Kuhongwa kuna raha yake na kunaongeza raha ya mapenzi
 
Mkuu pole sana mie nilionga elfu 20 jmos iliyopita yan inaniuma mpk sahv aiseee
 
Naona wengi mnanikejeli,lakin mapenz wkt mwingne ni upofu wakuu.
Hahaha.......upo sahihi mkuu lakini huyo mpige chini tu maana anaonekana yupo after money hakujali wala nini.
 
kha!!! laki nzima jamani...sasa hiyo laki sii ungeweza pata totoz ya kweli ukajigegedea kwa raha zako. alafu na ugumu huu wote wa sasa duh!!
Na chenji ingebaki mkuu hahahaha....
 
We boya si ungemwambia aje achukue ili uchangamshe damu kdg ndio umpe kalaki kako! ingesaidia kupunguza maumivu
 
Back
Top Bottom