Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Jamani,me nadhani mapenz na warembo wa kitanzania yamenishndwa,nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye m pesa yake,lakin yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna!nimepiga voda huduma kwa wateja nikawadanganya nimeituma kimakosa wanirudishie pesa yangu ila naona imeshndkana.hvi warembo wote wa hii nchi wako kama huyu?

IVI WE JAMAA WANAKUCHUKULIAJE ??? ILE LAKI 8 ALIKURUDISHIAGA ? AU HUKUMKOPESHA
KAMA HUNA PESA MWAMBIE TU MBONA ANAKUUMIZA ? MWAKA JANA LAKI 8 LEO LAKI MOJA INAWEZEKANA UNAJIWEKA JUU KUMBE UNAJIKAZA TU MZAEE
 
Hakuna nafasi baba. Yaani kuanzia unyayo hadi unywele nampenda yeye tu. Nimevunjika vunjika mabawa hata kuruka siwezi.
Unaweza penda kwa pembeni nahitaji kujisikia jinsi ilivyo pale nitakapohongwa na mwanamke,
 
Alafu ukute nyumbani unaombwa kuwasaidia wadogo zako unasema huna pesa. Kumbe umehonga
 
Hakuna nafasi baba. Yaani kuanzia unyayo hadi unywele nampenda yeye tu. Nimevunjika vunjika mabawa hata kuruka siwezi.
Siku ukibadili itikadi mlango uko wazi. Sisi wanadamu tunabadilika kila saa. Na kuna mambo hutufanya tubadilike. Wanaofanya hivyo wengine hufikia hatua kwamba ni lazima afanye hivyo.
 
Naona wengi mnanikejeli,lakin mapenz wkt mwingne ni upofu wakuu.
 
Jamani,me nadhani mapenz na warembo wa kitanzania yamenishndwa,nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye m pesa yake,lakin yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna!nimepiga voda huduma kwa wateja nikawadanganya nimeituma kimakosa wanirudishie pesa yangu ila naona imeshndkana.hvi warembo wote wa hii nchi wako kama huyu?
Pole kijana, laki moja mbona ndogo sana kwa kuhonga!!!
Tenda wema nenda zako usingoje shukrani....
 
Back
Top Bottom