juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,480
We acha uzushiWewee mtoto wewebona kutuchosha asbuh??
~Ni nan aliwambia ukimpa mwanamke pesa ndo atakupenda??kumbuka mapenzi si pesa ni utu wa ndan ya mtu pesa huja baadae sana.
~pia kuwa na subira kwan umeambiwa ni malaika huyoo??yumkin nae huwa hawez kushukuru yan si mtuwashukuran.
~haya unataka kukimbia tzeee uende wap?kwa bhasungu wakakudanganya hawana matatizo???
~Jaribu kuwa na kifua bwana mwanaume anasifika kwa kifua na kusitir mambo. una ulala mishi mno mpaka tumejua umetoa kg
~mmhhm jaman shule nazo zifungue