Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Wewee mtoto wewebona kutuchosha asbuh??
~Ni nan aliwambia ukimpa mwanamke pesa ndo atakupenda??kumbuka mapenzi si pesa ni utu wa ndan ya mtu pesa huja baadae sana.

~pia kuwa na subira kwan umeambiwa ni malaika huyoo??yumkin nae huwa hawez kushukuru yan si mtuwashukuran.

~haya unataka kukimbia tzeee uende wap?kwa bhasungu wakakudanganya hawana matatizo???

~Jaribu kuwa na kifua bwana mwanaume anasifika kwa kifua na kusitir mambo. una ulala mishi mno mpaka tumejua umetoa kg

~mmhhm jaman shule nazo zifungue
We acha uzushi
 
Mkuu pole...ila ktk hiyo laki moja uliweka ya kutolea ama umetuma NET 100000/=...Naisi alikuomba laki nawe ukamtumia laki net,ndio maana amekaa kimya lengo lake halijatimia....Ila yote kwa yote tabia ya kukaa kimya si tabia njema kwa mtu alikupa pesa jamani inauma sana
 
Wenzio wanatuma m nzima na hawaulizi kama imefika
 
Ha ha ha ha hujatuma hela ya kutolea [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Nafikiri ishu is not whether hela yenyewe iliyotumwa ni ndogo au kubwa. Suala ni why mtu hawi grateful kwa chochote mtu unachopewa na mpenzi wako?

Ila mkuu huyo ndio chaguo lako...sema naye kaka!!

Inawezekana pia kuna sababu iliyomfanya asikupe mrejesho. Amekuwa na tabia hii ya kutoshukuru mara kwa mara au hii ni mara ya kwanza?

Lakini pia kwanini hujamuuliza kama mpenzi wako badala yake umekimbilia huku? Kumbuka anaweza awe na sababu nzuri au labda anafikiria njia bora ya kukushukuru. Kila mtu yuko unique.
 
Alafu bora yako wewe wenzako tunawapiga mizinga ya lakisita wew unalialia na hiyo hela ya kununulia pumba za kuku nyoo[emoji108] [emoji126] [emoji23]
 
Mbona hutuambii alivyokuwa anakupa utamu bure mayb alikuwa anakukopesha hivyo ndo mmelipana
 
Ngoja niseme asante kwa niaba yake HONEY ASANTE KWA ILE HELA YA VOCHA ULINITUMIA JANA NILISAHAU KUTOA ASANTE MANA SIKUWA NA VOCHER
 
We unampaje demu laki, kizembe tu???
Kuna vijana mna kipaji kwa kweli utakuwa mtoto wa fisadi bila shaka!
 
Jamani mimi nadhani mapenzi na warembo wa kitanzania yamenishinda. Nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye M-pesa yake, lakini yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna.

Nimepiga Vodacom huduma kwa wateja nikawadanganya nimeituma kimakosa wanirudishie pesa yangu ila naona imeshindikana.

Hivi warembo wote wa hii nchi wako kama huyu?
Inawezekana kiasi ulichotuma ni kidogo mno kulingana na anavyotumiwa na wenzio.
 
Kaiona ndugo ndiyo maana... ukitaka ahsante zao mtumie kipindi hana.. lakini kama keshajazwa na mwingine.. hupati ahsante...
 
Vipi akikushukuru humu, upo tayari kujihis mwenye amani?!
 
Back
Top Bottom