Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Kuna uzi ulianzishwa humu kwamba ukitaka kumpa demu hela mwambie aje achukue gheto. Sasa ulitakiwa umsome kwanza. Vinginevyo bora uchangie madawati
 
Hawana shukuran hawa viumbe ukimpa iwe ni km umeipoteza tu usiiwazie
Hata mimi juz nimetuma lak na nusu sijapewa hata hata shukuran
Kasema tu ''poa nimeipata ''km yakwake vile
 
Ndo umeshapigwa.Siku nyingine tuma advance afu unamalizia malipo baada ya kula mzigo#mapenz ya kikauzu
 
Jamani mimi nadhani mapenzi na warembo wa kitanzania yamenishinda. Nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye M-pesa yake, lakini yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna.

Nimepiga Vodacom huduma kwa wateja nikawadanganya nimeituma kimakosa wanirudishie pesa yangu ila naona imeshindikana.

Hivi warembo wote wa hii nchi wako kama huyu?
Huko kwenye nchi yako ukiwapa huwa wanasemaje???????????????
 
Pamoja mheshimiwa kukaba kila sehem bado kuna njemba zinatuma laki??

#Mapenzi Noma.
 
Mkuu acha tabia ya kuhonga madem pesa hao si ndugu zetu kabisa hawanaga shukurani. Ukiona demu wako unampa pesa lakini hata kusema ahsante hawezi jua yeye ndo TRA BINAFSI anakusanya mapato kwa wale wanaofanya nae biashara hiyo ambao ni wengi kiasi kwamba si rahisi kusema ahsante.
Nimetoa sana pesa mimi kwa demu wangu lakini hakuwa sema "ahsante" wala kunitaarifa kama imefika hadi nimuulize-sina hamu na madem.
 
To be honest hii tabia ya kuonga mungu alininyima huu ni ushamba wa hali ya juu na ulimbukeni si maani siwezi msaidia mpenzi wangu ila kwa sababu za msingi na nione kweli msaada wangu unahitajika sio akisema naomba ela ya kusuka basi umetuma ela ya bia umetuma sasa chunguza kwa undani sana auko pekee yako mko wengi na hiyo ndiyo tabia yake that why kashindwa kuonesha thamani ya hiyo pesa na heshima kwako vile umejitoa kwako

Wanawake/wasichana wanakuwa vile jinsi ww ulivyotaka wawe
Shtuka acha tabia za vijijin za huko kigoma au bukoba kibaya zaidi sio mke una ndugu kibao ungewasaidia kununua daftar nafikiri ungekuw msaada wenye thamani sana na ungeweka adhina siku zijazo
 
Back
Top Bottom