Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Laki moja yangu inaniuma sana, hata asante sijapewa

Jamani mimi nadhani mapenzi na warembo wa kitanzania yamenishinda. Nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye M-pesa yake, lakini yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna.

Nimepiga Vodacom huduma kwa wateja nikawadanganya nimeituma kimakosa wanirudishie pesa yangu ila naona imeshindikana.

Hivi warembo wote wa hii nchi wako kama huyu?

Mimi nilimtumia 10,000/= Tshs.......hata Asante ya kujifanyisha sikupata, hata nikajuta.....Ningemtumia MAMA yangu, Ningepata BARAKA tele..

Hii inauma sana, Wanawake mBadilike sasa.
 
Mimi nilimtumia 10,000/= Tshs.......hata Asante ya kujifanyisha sikupata, hata nikajuta.....Ningemtumia MAMA yangu, Ningepata BARAKA tele..

Hii inauma sana, Wanawake mBadilike sasa.
Duh ako kaefu kumi sa anendaje sasa kwa wakala kutoa mdada kabisa au ulimtumia mtoto
 
Na matusi juu hapo "Mijitu mingine sasa hii Laki inatosha nini anamaliza na [emoji57]
 
Umekosea, mtumie na vocha ya buku ili ajiunge halafu akutumie msg kuwa kapata hiyo laki. Ana nia ya kukushukuru tatizo hana 'klediti' kwenye simu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wengine mnamponda tu ila huku kuna wahongaji wazuri kweli, chako kihudumie bwana,asante utapewa na wale wanaotungiwa sheria bungeni
 
We Umejiingza kichwa kichwa wacha wakuchune?..
Jinga sana SAA nyngne Mama ako pesa ya kanga hana we unawatumia Malaya wacyo na faida
 
Hahahahaaaa unaanzaje kumpa mtu mzima sasa efu kumi

Nimekoma, Siwezi kurudia kumpa mtu wa namna hiyo......Bora nimpe mkuu wa Dar kama mchango wa Madawati, anaweza kunishukuru....hahahhahahahahahhha
 
Jamani mimi nadhani mapenzi na warembo wa kitanzania yamenishinda. Nimemtumia mrembo laki moja nzima kwenye M-pesa yake, lakini yeye hata kujishaua tu kusema baby asante ya kinafiki hakuna.

Nimepiga Vodacom huduma kwa wateja nikawadanganya nimeituma kimakosa wanirudishie pesa yangu ila naona imeshindikana.

Hivi warembo wote wa hii nchi wako kama huyu?
Duuu, mademu wa cku hizi wagumu sana kusema asante.
 
Watu bwanah wanaona laki hela ndogo,siwez kuhonga hela yote hiyo kwa mtu ambaye sio ndugu yangu wala mke wangu.
 
Hizo laki moja amekuomba? Isije ikawa anaona unamdharau kwa kumhonga kwani yeye sio malaya.
 
Back
Top Bottom