Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

kwa experience yangu pale kwenye ufukara ndio huwa na kero nyingi za ma mkwe, lakini cha kushangaza na sisi 2kipata wakamwana 2nakuwa kama mama wakwe zetu, the story continues....,.,


Hio haikwepeki for its an ongoing circle kama pete ya ndoa... Unamfanyia jeuri Ma'mkwe na upatapo mkwamwana unaanza kuumia yeye akifanya ulofanya....
 
Wow kumbe una kasichana, basi tutaweza fanya mipango awe mkwe hahahahahah! hapo wewe huna presha coz hakuna mtoto wa kike anaesahau home
 
Wow kumbe una kasichana, basi tutaweza fanya mipango awe mkwe hahahahahah! hapo wewe huna presha coz hakuna mtoto wa kike anaesahau home


Nina kabinti mwaya.... Lazima wazazi tufanye mambo tuwakutanishe... Na kizazi cha dot com wakijua tumewachagulia watagoma kabisa... Dawa ni wangu aje holiday in the pretense ya kubadilisha mazingira aone atavutiwa na yupi... Na malezi gaga najitahidi kiasi changu kwa upande wa maadili - but binadamu sa nyingine huendeshwa na nature yake kuliko hata the way amelelewa... Kama wazazi we always hope they turn up to be beings we are rightly proud of as well as the society inayo mzunguka.....
 
Yah hilo ndilo la muhimu mwali! yote twamwachia Mungu tu
 
Yah hilo ndilo la muhimu mwali! yote twamwachia Mungu tu


Dalili nzuri saaana hii... Tunakubaliana almost in everything... Lucky them!...(the kids)...lol
 
Mie ninavyopendakusikilizwa sijui huyu mama itakuwaje maana kila kitu anataka asikilizwe yeye tu. hapo napo nijifanye mjinga nijipendekeze?
 
Mie ninavyopendakusikilizwa sijui huyu mama itakuwaje maana kila kitu anataka asikilizwe yeye tu. hapo napo nijifanye mjinga nijipendekeze?


LOL...LOL... Shantel hope you dont mind, umenifurahisha hivyo nimecheka saana...

Shantel kwa mtazamo wangu kama unapenda kusikilizwa saana, naamani mwanae hio kazi ataifanya vizuri zaidi... Kikubwa kama huwezi mhendo ni kukaa nae mbali kuepusha kukwazana... Best of lak gal
 
Ana kiherehere huyu mama sijawahi ona, jambo la kwanza na la kusikitisha kuna kaka wa huyu BF wangu alikuwa anaoa yule bride akaweka colour ya wedding pink, kwa hiyo matron na wadsimamizi na marafiki na ndugu wote wakavaa pink, Guess what! yeye alipenda kuvaa nguo ya kijani kwa hiyo akalazimishwa ukumbi upambwe kijani, bibi harusi kuingia mlangoni akagoma yaani alikaa nje mpaka wazee nawazee wakamshauri aingie ndani.Mama kama huyu uta mhandle vipi?
 


That is definitely war Shantel!!!.... Kwenda kubadilisha theme ya harusi yangu sababu anataka Kijani... Mungu wangu alafu KIJANI of all colors... Namuonea hurama huyo dada....Yaani umenikumbusha hadi hadithi (in fact its a movie) sijui kama you like watching movies but kuna movie Moja ya J-Lo inaitwa MONSTER IN LAW..

En ways in short Shantel huyo BF wako kama ndo mumejaliwa kuoana una bahati maana umemjua in advance... Mama wa namna hio anataka kuoonesha nguvu alonayo dhidi ya mwanae... Na huyo ukitaka kushinda hiyo vita usimuhusishe mwanae coz unamuumiza tu na sometimes ana stick na mamake hata kama anajua the Mom is wrong... Shantel huyo mama unafanya vitu in advance na unapiga kabisa marufuku kua utaki ahusishwe katika decisions zikusuzo wewe directly.... Itakua kazi kumkwepa but you try your best... Na ukweli ni kua a being kua Mtu mzima haina maana kua actions zake ni logical au kua ana busara...
 
Hata bday kama mmeamua kufanya wenyewe yaani kama kwenda mahala wawili atahakikisha muda wote anapiga simu kuulizia, looo huyu ni kiboko, ila keshajua mie sipendi mchezo na mtoto wake kiasi ana msimamo, ila si unajua mama ni mama kuna wakati inabidi niumie mimi
 
Shantel; Ana kiherehere huyu mama sijawahi ona, jambo la kwanza na la kusikitisha kuna kaka wa huyu BF wangu alikuwa anaoa yule bride akaweka colour ya wedding pink, kwa hiyo matron na wadsimamizi na marafiki na ndugu wote wakavaa pink, Guess what! yeye alipenda kuvaa nguo ya kijani kwa hiyo akalazimishwa ukumbi upambwe kijani, bibi harusi kuingia mlangoni akagoma yaani alikaa nje mpaka wazee nawazee wakamshauri aingie ndani.Mama kama huyu uta mhandle vipi?


Vipi huyo BF wako angeyasema hayo maneno juu ya mama yako mzazi ungejisikiaje? Chukulia ni mama yako ndo ana tabia kama hiyo ungedeal vipi naye? Juwa huyo ni mama wa BF na baadaye anaweza kuwa mkwe wako....... juwa jinsi ya kuhandle tabia maana huwezi kumbadili mtu mzima, anamjuwa huyo BF wako toka ana siku moja lazima umuheshimu. Ukipenda mwanae penda na mama yake. Ni ngumu umchukie mama yake BF wako na huyo BF wako alijuwe hilo mkakaa kwa Amani kwenye ndoa yenu huko baadaye. Labda kama ni mambo ya kufurahisha nafsi zenu tu na hamna mpango wa mda mrefu.

Unaonekana umeshakuwa na Negative altitude na huyo mama ya kusema anapenda kusikilizwa yeye zaidi... na wewe unapenda usikilizwe tuuuuuuuu !!!!!!!!! Siku ya siku na wewe utakuwa mama mkwe wa mtu mwingine na tabia yako inaweza kuwa mbaya zaidi ya huyo mama wa BF.

BTW, binadamu hatufanani tabia kwa hiyo kuna kuchukuliana masha yanasonga mbele.
 


Nimekupata Shantel... Ila naona nawe unatakiwa ujiangalie vizuri maana umeshajenga mbonge la negativity na bado hajawa mkweo... Najua yote unayoongea ni kweli but ya nini kushindana nae??? Hata hivyo hayo ni mawazo/mtazamo na ushauri wangu, si lazima kufauata.
 


Thank you for your post... But Ngo hakuna binti huongea vibaya kuhusu mama mkwe wake kwa the husband mpaka amuweke sawa kwanza kwa taratibu... Leo itakua eeh mama yako nae, kesho dah pale alinikwaza, kesho kutwa mpenzi naumia, siku zinavyozidi kwenda mwanaume mjinga anazidi kulainika mpaka mwishowe anakua completely upande wa the wife....
 

Safi sana.
 
Heri mmejisemea na kujijibu wenyewe. If you live with your mother under the same roof with your wife, know that it's like you are married to two women. Hahahahahaaaaaaaaa! They will behave the same and solutions to their problems will be the same, but you will get slightly different services from them.


CIAO!
 


Interesting observation...
 
Jinsi unavomuelewa mama mkwe wako si jinsi mtu mwingine atakavomuelewa mama mkwe wake, kuna wa mama mkwe wa baya wewe, yuko radhi hata akuue so kwa swala hili, mimi binafsi na weza sema naishia hapa. Kama wewe una mkwe mzuri muombee tu na wengine pia wajue la kufanya. Asipo kua mkorofi atakua na roho mbaya, asipokua mbaguzi na mwenye wivu basi mchawi, let say anakuulia watoto kila unapozaa au mimba zinatoka kwa mauzauza, hapo unataka umuele kiaje waaii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…