AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
- Thread starter
- #141
kwa experience yangu pale kwenye ufukara ndio huwa na kero nyingi za ma mkwe, lakini cha kushangaza na sisi 2kipata wakamwana 2nakuwa kama mama wakwe zetu, the story continues....,.,
Hio haikwepeki for its an ongoing circle kama pete ya ndoa... Unamfanyia jeuri Ma'mkwe na upatapo mkwamwana unaanza kuumia yeye akifanya ulofanya....