Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Jinsi unavomuelewa mama mkwe wako si jinsi mtu mwingine atakavomuelewa mama mkwe wake, kuna wa mama mkwe wa baya wewe, yuko radhi hata akuue so kwa swala hili, mimi binafsi na weza sema naishia hapa. Kama wewe una mkwe mzuri muombee tu na wengine pia wajue la kufanya. Asipo kua mkorofi atakua na roho mbaya, asipokua mbaguzi na mwenye wivu basi mchawi, let say anakuulia watoto kila unapozaa au mimba zinatoka kwa mauzauza, hapo unataka umuele kiaje waaii.


Mamushka sina maana kua Mamamkwe wangu ni muelewa ndio maana nikapost hii thread... Lah! Sababu ya mimi kubwa kupost ni kwamba ndio ukweli wenyewe for most of us dadaz/mamaz hua tunajipanga shari mapema kabla hata ya kuonana na mkwe na kumjua alivo just because the majority wapo hivo... Inakua sia fair... na hata hivo IMO naona hamna haja ya kushindana naye, though kuna mipaka haitakiwi avuke!
 
Kipipi... acha mzaha say something dear....

Kuna mama wakwe wengine kwa ukorofi ni moto wa kuotea mbali yaani hata ufanyeje ye kwake ni nothing! Akianza kugomba mpaka utasema amen na akiamua kususia msosi, mbona utakonda?! Mpaka uje kucope nae inahitaji kipaji kwakweli! (AshaDii hapa nimeongea nikiwa serious kabisa kwa nilichokishuhudia)
 
mmh ndio ukutane na mama mkwe ambaye kijana anayekuoa ndio mwanae wa pekee wa kiume na on top of that awe mtata!!! kazi ipo.... ambao hatujaolewa bado tuombe Mungu jamani maana mama wakwe wana play part kubwa sana kwenye maisha ya ndoa!!!
 
Kuna mama wakwe wengine kwa ukorofi ni moto wa kuotea mbali yaani hata ufanyeje ye kwake ni nothing! Akianza kugomba mpaka utasema amen na akiamua kususia msosi, mbona utakonda?! Mpaka uje kucope nae inahitaji kipaji kwakweli! (AshaDii hapa nimeongea nikiwa serious kabisa kwa nilichokishuhudia)


Yoote hayo sikatai Kipipi... What i am trying to say hapa ni kua atleast understand her.... Mie nasema kwa yule ambae amejaliwa kua na mtoto hasa wa kiume (for hawa watoto hupenda saana mama zao) You would understand how she feels kua for the first time in her life the attention ya mtoto wake hio imehamia kwa mwanamke mwingine ambae wamejuana ukubwani..... Kwani kama yeye mkorofi ni lazima nawe uwe mkorofi??
 
mmh ndio ukutane na mama mkwe ambaye kijana anayekuoa ndio mwanae wa pekee wa kiume na on top of that awe mtata!!! kazi ipo.... ambao hatujaolewa bado tuombe Mungu jamani maana mama wakwe wana play part kubwa sana kwenye maisha ya ndoa!!!


Wa design hii hapa juu.... yaweza hadi uka feel ni mke mwenza..... Believe me you.... So challenging yahitaji mume mwenye busara na mke pia, or else kila siku mwanaume ataona kwake kuchungu....
 
Yoote hayo sikatai Kipipi... What i am trying to say hapa ni kua atleast understand her.... Mie nasema kwa yule ambae amejaliwa kua na mtoto hasa wa kiume (for hawa watoto hupenda saana mama zao) You would understand how she feels kua for the first time in her life the attention ya mtoto wake hio imehamia kwa mwanamke mwingine ambae wamejuana ukubwani..... Kwani kama yeye mkorofi ni lazima nawe uwe mkorofi??

Ofcoz sio lazima na wewe uwe mkorofi kwa sababu kufanya hivyo ni kama unashindana nae lakini mwisho wa siku kila mtu anabaki na cheo chake tu! Lakini mi nae ni binadamu sasa makwazo yakizidi nafanyaje? Nitakuwa naingia tu ndani nalia au??
 
mmh ndio ukutane na mama mkwe ambaye kijana anayekuoa ndio mwanae wa pekee wa kiume na on top of that awe mtata!!! kazi ipo.... ambao hatujaolewa bado tuombe Mungu jamani maana mama wakwe wana play part kubwa sana kwenye maisha ya ndoa!!!

Na kweli ndugu yangu, mama mkwe ana raha yake kwenye maisha ya ndoa! Sasa ukikutana na mshike mshike, ndo hapo inahitaji busara ya hali ya juu!
 
Kesho akina mama Mkwe, understanding you kama mnapango wa kuvurga plans will be kind of really hard kuwamezea....:alien:
 
Mwanamke alievaa sketi ni rahisi kupendwa kuliko wavaa suruali.

Kwa mwanamke alievaa suruali mwanaume anaumiza hisia nyingi zaidi kuliko mwanamke alievaa sketi.

Mwanamke alievaa suruali anampa maswali mengi sana mwanaume kabla hajamtokea.!!!
 
mie mwanamke akivaa suruali my first asumption ni kwamba hana miguu mizuri....mwanamke yoyote yule mwenye miguu mizuri atapendelea kuvaa skirt.

also lazima kiwe na tofauti bwana sasa mke na mume wote trouser ndio nini....vaa kama queen bwana ndio unakuwa mwanamke wa kweli.
 
Mi naona hiyo research yako irudishe darasani kwanza iwive,unamaanisha kwamba hizo ndoa zinazofungwa kila siku asilimia kubwa hao wanawake walivaa sketi ndo wakapa wa kuwachumbia?
 
mzabzab kuna ukweli kwenye assumption yako, lakini sio kwa wote, wengine ni mapenzi yao tu na fashion ...wana miguu mizuri sana lakini wanapenda kuvaa suruali!
 
Last edited by a moderator:
wapi ww mie navaa suruali toka utoto,nina ndoa yangu na nailea vizur tuu,figure yangu bomba,miguu mizur so kuvaa suruali c kuficha malazi.ila yaonekana mtoa mada umelijua jiji uzeen.ni mambo ya kawaida tu.na cku hiz bora mvaa surual anaheshima ya kusitir figure yake kuliko wavaa sket tena vimin vile vya hatar usipime.
 
mzabzab kuna ukweli kwenye assumption yako, lakini sio kwa wote, wengine ni mapenzi yao tu na fashion ...wana miguu mizuri sana lakini wanapenda kuvaa suruali!

neva...mwanamke yoyote mwenye mguu mzuri atavaa suruali occasionally tuu lakini majority ni skirt tuu....classic example queen elizabeth...kibibi kina mguu acha umemuona anavaa suruali weye...

plus tuwe wwakweli mwanamke akivaa skirt bwana she looks feminine and all the more alluring...its a beutiful sight.

althou pia mie mpenzi wa thre quarter pants they sex...vipi una mkuu wa ukweli nije nitoe mahali
 
Last edited by a moderator:
mie mwanamke akivaa suruali my first asumption ni kwamba hana miguu omizuri....mwanamke yoyote yule mwenye miguu mizuri atapendelea kuvaa skirt.

also lazima kiwe na tofauti bwana sasa mke na mume wote trouser ndio nini....vaa kama queen bwana ndio unakuwa mwanamke wa kweli.
Kweli wanawake wanaovaa suruali mara nyingi wanakasoro na hawajiamini japo sio wote.
Mwanamke mvaa Sketi anamvuto sana, kwanza anakufanya mwanaume ujione mwanaume wa ukweli.
 
Mi naona hiyo research yako irudishe darasani kwanza iwive,unamaanisha kwamba hizo ndoa zinazofungwa kila siku asilimia kubwa hao wanawake walivaa sketi ndo wakapa wa kuwachumbia?

sijasema wanawake wanaovaa sketi ndio wanaoolewa sana.

Mwanamke kuolewa anaejua vigezo ni muoaji sio sketi wala suruali, miguu wala uso.

Kifupi kuoa ni siri ya muoaji.!!
 
Back
Top Bottom