Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Code:
[LIST=1]
[*]Yeye ndie  mama wa mumeo, kamfahamu mumeo toka hajakabidhiwa kwake na babake akiwa  hana uhai wowote mpaka hapo ulipomkuta akiwa tayari ana miaka zaidi ya  27 (maybe) and onwards… Hivyo katika mawazo yake huyu mama ni Who does  she think she is thinking kwamba anaweza mteka mwanangu kirahisi rahisi…
[*]Mara  nyingi most watoto wa kiume hupendwa saaana na mama zao.. huo upendo  huwajenga karibu sana na most guys hua wanaenda hata confide mambo yao  kwa mama zao because at that time she is the most prominent woman in his  life.. Na kama tuelewavyo mapenzi kitu kingine once akipata mwanamke  kampenda na kumuoa automatically mambo yanabadirika na hata ajitahidi  namna gani huyo kijana lazima mama ataona tu utofauti – Basi huona wewe  binti umenyang'anya privilege yake..
[*]Akina  mama wengi hasa wenye tabia za ovyo ovyo hufanya mambo mengi kwa waume  zao.. atamlisha kila uchafu, atamuendea kwa kila mganga, sometimes  humuendesha mumewe kama gari bovu, wengine hutumia njia zozote zile  mumewe kutokua na nduguze hata wazazi – Basi pale mtoto wake wa kiume  anapopata mke ndo ana realize kua mtoto wake yawezekana atafanywa na  kuchezewa vibaya kama babake alivyomfanyia…Mkuki kwa ngurue…. Hi indo  huwachanganya kabisa…
[*]La  mwisho (but not limited) na muhimu ukweli ni kwamba wewe ni mwanamke….  After all; all women tend to hate each other especially if they have the  attention of the same man – wote wawili (mke na mama) wanataka kuonesha  kwamba wao ni bora zaidi kwa hio mwanaume wakisahau kua kati yao hakuna  mshindi, maana wote wana umuhimu na nafasi tofauti kwa huyo mwanaume….
[/LIST]
Kwa uelewa wangu ni kuwa mama mkwe.........wants to remain a domineering force to and in particular.......................mama's boy.........a wife is an intrusive threat to be quashed at the earliest possible opportunity.......................

But if the wife does things to please God and not necessarily an in-law mom or even a husband........the Lord will mellow the stubborn heart of the in-law...................only God can offer peace of GOD to both sides................................migongano iliyopo is about controlling that man...............who meant so much in the lives of either side...............

na watu wote duniani wanaohangaika kuwatawala wenzao ukiwafuatilia kwa karibu wana.......low self-esteem and are attempting to cash in on those relations to fill that nagging emptiness in their miserable lives.............................do not be awed by materialistic possessions...........................................even the rich also cry............................

But sometimes it is worthwhile to keep that notorious in-law mom at bay
.......................wanandoa wasiendekeze kuishi na wazazi wao...................it only breeds trouble as two different generational homo sapiens are hemmed in to merge different cultural expectations..................
 
Mimi nina bahati sina mawifi nina mama mkwe tu maana nasikia mawifi nao ni issue sometimes. Mama mkwe wangu nampenda na so far hatujawahi kugombana. Labda kwa kuwa yuko mbali na si wa kijijini kwa hiyo ni muelewa. Pili huwa sijajaribu hata siku moja kuwa kiwingu kati yake na mwanae kwani mume wangu ni last born. Akiniomba kitu basi niko tayari kukopa kama sina ela nimpatie. Sometimes huwa nawaza am I caring too much than the way am treating my own mother? Well ukipenda boga lazima upende na ua lake!

Na kwa kumtreat mama mkwe wangu vizuri nadhani kunamfanya mume wangu anipende sana na kutonificha chochote kuhusu familia yao hata wanachoongea na mama yake on my absence. Hata mashemeji zangu wananipenda pia.

Hakuna atakaye kupenda ukimchukia mzazi wake!
Sorry to say this Nyumba kubwa,nothing personal, hapo kwenye red,niseme tu kwa ujumla kwamba ni hatari mme/mke kumweleza mwenza kila kitu kinachohusu familia yake na 'hata kinachosemwa behind your back'.Leo mko in good terms na wakwe na mashemeji zako (kama unavyosema) lakini kumbuka kuna kesho na kesho kutwa.Unajua nini kinaweza kutokea siku mkitofautiana (japo siombei ikutokee)? usije shangaa siku moja ukashtukia unafoka na kusema 'ndo mana siku fulani ulimwambia mme wangu hivi na hivi kuhusu mimi', na baada ya hapo?itakuwa ni full embarassment kwa mme na si ajabu nduguze watamweka kitimoto na kumwambia 'mkeo amekukalia juu'-anyway just thinking aloud.
 
Shukran wapendwa kwani nimepata ma ujuzi fulani kupitia jukwaa hili nitayafanyia kazi nikibahatika kumpata mama mkwe


Karibu saana dear... Nimefurahi kua umepata ma ujuzi ya ku handle Ma'mkwe....Kwa niaba ya woote ulowashukuru nasema ASANTE....
 
Code:
Na kwa kumtreat mama mkwe wangu vizuri nadhani  kunamfanya mume wangu anipende sana na kutonificha chochote kuhusu  familia yao hata wanachoongea na mama yake on my absence. Hata mashemeji zangu wananipenda pia.

why should you care a hoot to know what they are talking on your back...............those are signs of insecurity...................................let people talk and they too should let you move on with your lives.............
 
Duh,ngoja nikariri visa vikianza nimuelewe mama mkwe....natumai na yeye atanielewa tu....:mod:
 
Code:
[LIST=1]
[*]Yeye ndie  mama wa mumeo, kamfahamu mumeo toka hajakabidhiwa kwake na babake akiwa  hana uhai wowote mpaka hapo ulipomkuta akiwa tayari ana miaka zaidi ya  27 (maybe) and onwards… Hivyo katika mawazo yake huyu mama ni Who does  she think she is thinking kwamba anaweza mteka mwanangu kirahisi rahisi…
[*]Mara  nyingi most watoto wa kiume hupendwa saaana na mama zao.. huo upendo  huwajenga karibu sana na most guys hua wanaenda hata confide mambo yao  kwa mama zao because at that time she is the most prominent woman in his  life.. Na kama tuelewavyo mapenzi kitu kingine once akipata mwanamke  kampenda na kumuoa automatically mambo yanabadirika na hata ajitahidi  namna gani huyo kijana lazima mama ataona tu utofauti – Basi huona wewe  binti umenyang'anya privilege yake..
[*]Akina  mama wengi hasa wenye tabia za ovyo ovyo hufanya mambo mengi kwa waume  zao.. atamlisha kila uchafu, atamuendea kwa kila mganga, sometimes  humuendesha mumewe kama gari bovu, wengine hutumia njia zozote zile  mumewe kutokua na nduguze hata wazazi – Basi pale mtoto wake wa kiume  anapopata mke ndo ana realize kua mtoto wake yawezekana atafanywa na  kuchezewa vibaya kama babake alivyomfanyia…Mkuki kwa ngurue…. Hi indo  huwachanganya kabisa…
[*]La  mwisho (but not limited) na muhimu ukweli ni kwamba wewe ni mwanamke….  After all; all women tend to hate each other especially if they have the  attention of the same man – wote wawili (mke na mama) wanataka kuonesha  kwamba wao ni bora zaidi kwa hio mwanaume wakisahau kua kati yao hakuna  mshindi, maana wote wana umuhimu na nafasi tofauti kwa huyo mwanaume….
[/LIST]
But if the wife does things to please God and not necessarily an in-law mom or even a husband........the Lord will mellow the stubborn heart of the in-law...................only God can offer peace of GOD to both sides................................migongano iliyopo is about controlling that man...............who meant so much in the lives of either side...............


Ruta nimependa perspective yako... But yani umpende na kufuata ya Mungu alafu usitilie maanani ya mumeo na mamake... naona kama atakua kakosea hata kama anaomba kwake Mola.... I believe kuna mambo Mungu anataka wanadamu wenyewe wafanye...
 
Sorry to say this Nyumba kubwa,nothing personal, hapo kwenye red,niseme tu kwa ujumla kwamba ni hatari mme/mke kumweleza mwenza kila kitu kinachohusu familia yake na 'hata kinachosemwa behind your back'.Leo mko in good terms na wakwe na mashemeji zako (kama unavyosema) lakini kumbuka kuna kesho na kesho kutwa.Unajua nini kinaweza kutokea siku mkitofautiana (japo siombei ikutokee)? usije shangaa siku moja ukashtukia unafoka na kusema 'ndo mana siku fulani ulimwambia mme wangu hivi na hivi kuhusu mimi', na baada ya hapo?itakuwa ni full embarassment kwa mme na si ajabu nduguze watamweka kitimoto na kumwambia 'mkeo amekukalia juu'-anyway just thinking aloud.


Bishanga nakubaliana nawewe, najua umeelekeza wasi wako kwa NK, ila nimependa nichangie kua haitakiwi kweli - lakini mara nyingi mnavyozidi ishi ndo manazidi juana... mpaka inafika wakati mwaweza confide....
 
Word to word Michelle... Pleeease.... Hop uko poa by the way....

If am expected to understand her attitudes and behaviours,she is also expected to do the same...thats my point.
am not ready to take any nonsense under the umbrella of women have the tendency to hate each other especially when seeking the attention of a man...i hate no woman,i will hate a woman who can not let me and my husband enjoy our marriage, and she can hate me if in any way,i i do not let my husband give her the attention she deserves!!!
 
If am expected to understand her attitudes and behaviours,she is also expected to do the same...thats my point.
am not ready to take any nonsense under the umbrella of women have the tendency to hate each other especially when seeking the attention of a man...i hate no woman,i will hate a woman who can not let me and my husband enjoy our marriage, and she can hate me if in any way,i i do not let my husband give her the attention she deserves!!!


From my perspective M is that at least if you understand where its coming from then waweza mvumilia walau kidogo and if not that at least for the sake of your husband... The absolute truth is that most do not care of what you think/feel about her... Thus if you decide to treat her the way she treats you - that means you will never come into an agreement on anything even if it is for the best of you or your husband... Kwa maneno mengine hawezi jishusha kwako hata siku moja mana katika akili yake kisha jenga kua yeye ndo zaidi kwa mwanae na wewe si kutu which is not the truth...
 
Talking on my absence does not mean they are/were talking about me. Ni mazungumzo ya kawaida ya familia yao. Hatuongei umbea na mume wangu hata siku moja.


Sorry to say this Nyumba kubwa,nothing personal, hapo kwenye red,niseme tu kwa ujumla kwamba ni hatari mme/mke kumweleza mwenza kila kitu kinachohusu familia yake na 'hata kinachosemwa behind your back'.Leo mko in good terms na wakwe na mashemeji zako (kama unavyosema) lakini kumbuka kuna kesho na kesho kutwa.Unajua nini kinaweza kutokea siku mkitofautiana (japo siombei ikutokee)? usije shangaa siku moja ukashtukia unafoka na kusema 'ndo mana siku fulani ulimwambia mme wangu hivi na hivi kuhusu mimi', na baada ya hapo?itakuwa ni full embarassment kwa mme na si ajabu nduguze watamweka kitimoto na kumwambia 'mkeo amekukalia juu'-anyway just thinking aloud.
 
Nakubaliana na wewe Asha D. I might be lucky, lakini mawife wengi hasa wenye kazi zao wana part to play katika relationship kati yao na wakwe zao. Wewe kama ni msomi hata kama mama mkwe ni std seven na reasoning yake ni poor kwa nini hujifunzi kuignore. Kwa nini uweke ligi. Tena una ignore huku watabasamu maana nikisema kuignore siyo kwa misonyo, with time atapima na mwenyewe ataanza kukupenda. Nakubali kuna wenye gubu lisilobebeka; ila kuna wenye kasoro za kawaida ila sisi ma wife tunaweka ushindani.

Ila kuna wanawake nawajua na nawasifu wanaweza kukaa na mama wakwe ambao ni wakorofi. Unakuta mama mkwe anaenda kupiga umbea nyumba jirani kukusema vibaya. Kama una akili why should you care?


From my perspective M is that at least if you understand where its coming from then waweza mvumilia walau kidogo and if not that at least for the sake of your husband... The absolute truth is that most do not care of what you think/feel about her... Thus if you decide to treat her the way she treats you - that means you will never come into an agreement on anything even if it is for the best of you or your husband... Kwa maneno mengine hawezi jishusha kwako hata siku moja mana katika akili yake kisha jenga kua yeye ndo zaidi kwa mwanae na wewe si kutu which is not the truth...
 
From my perspective M is that at least if you understand where its coming from then waweza mvumilia walau kidogo and if not that at least for the sake of your husband... The absolute truth is that most do not care of what you think/feel about her... Thus if you decide to treat her the way she treats you - that means you will never come into an agreement on anything even if it is for the best of you or your husband... Kwa maneno mengine hawezi jishusha kwako hata siku moja mana katika akili yake kisha jenga kua yeye ndo zaidi kwa mwanae na wewe si kutu which is not the truth...

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% that if i understand where its coming then naweza vumilia,my point is si kila kitu naweza vumilia wala kuelewa,kuna vitu vingine sitaelewa....i do not revenge,what i do is stay away from someone for good....if my husband can not do something about it,then he is expected to understand my actions...!!!
 
kwa experience yangu pale kwenye ufukara ndio huwa na kero nyingi za ma mkwe, lakini cha kushangaza na sisi 2kipata wakamwana 2nakuwa kama mama wakwe zetu, the story continues....,.,
 
Nakubaliana na wewe Asha D. I might be lucky, lakini mawife wengi hasa wenye kazi zao wana part to play katika relationship kati yao na wakwe zao. Wewe kama ni msomi hata kama mama mkwe ni std seven na reasoning yake ni poor kwa nini hujifunzi kuignore. Kwa nini uweke ligi. Tena una ignore huku watabasamu maana nikisema kuignore siyo kwa misonyo, with time atapima na mwenyewe ataanza kukupenda. Nakubali kuna wenye gubu lisilobebeka; ila kuna wenye kasoro za kawaida ila sisi ma wife tunaweka ushindani. Ila kuna wanawake nawajua na nawasifu wanaweza kukaa na mama wakwe ambao ni wakorofi. Unakuta mama mkwe anaenda kupiga umbea nyumba jirani kukusema vibaya. Kama una akili why should you care?


Naamini kua nilisha kujulisha kua kama bahati mbaya hubby anakusumbua sana tuwasiliane eeeh....

NK Moja kwa moja nakubaliana nawe... Busara ni kitu kidogo saana, na wewe kama manamke lazima umpe nafasi na kumuonesha unamueshimu hata kama humpendi na kwamba huna nia ya kuingilia kati mahusiano yake na mwanae...
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% that if i understand where its coming then naweza vumilia,my point is si kila kitu naweza vumilia wala kuelewa,kuna vitu vingine sitaelewa....i do not revenge,what i do is stay away from someone for good....if my husband can not do something about it,then he is expected to understand my actions...!!!

Sasa nimekupata... And the best solution is to leave the man out of your problems (maana mnamuumiza tu kichwa baba wa watu ).. You have to solve them Woman to Woman...
 
Back
Top Bottom