Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,286
Hahahaha mpendwa sasa kama nataka raha ya kua na mama mkwe???Kule huna mama mkwe dear.... Full kujiachia.... wewe si nilikwambia kitu kimekamilika... hadi Ma'mkwe alikua in consideration..lol
Hahahaha mpendwa sasa kama nataka raha ya kua na mama mkwe???Kule huna mama mkwe dear.... Full kujiachia.... wewe si nilikwambia kitu kimekamilika... hadi Ma'mkwe alikua in consideration..lol
Yani we acha tu.....natamani mieeeeeeeee!!aaaah Lizzy sasa huko kuchakachua.... Kumsikia mamake FP ushachanganikiwa kisa unataka kudeka ufyele....lol
lol... FP Sio hivyo mpenzi.... Ila ukweli unabaki kua ni nafuu zaidi... kweli mwaya GOD forbid!!!
aaaah Lizzy sasa huko kuchakachua.... Kumsikia mamake FP ushachanganikiwa kisa unataka kudeka ufyele....lol
Mbona FP unazidi haribu dear... Lizzy anaona jamani... mmmmmh
wengine mnatufanya tuingie ndoani kwa kujihami,siku natambulishwa kwa mama mkwe wangu nitakuwa na macho ya kushuku kwanza lol,kwa kweli i will always be myself,sijaingia ndoani ila kama kuna kuishi na mama mkwe nyumbani hii itakuwa ngumu kwangu sidhani kama ni jambo ambalo ningependelea...ndio mwanzo wa kuchunguzana na kusengenyana!kila mtu awe na kwake awe na uhuru wa kufanya apendayo bila kumbugudhi mwengine,nitampenda mama mkwe wangu but she will remain distant friend sidhani kama tukikaa pamoja hatutachokoana lol!
Basi mpenz lets stick to the original plan...aaaah Lizzy yamekua hayo..... basi tusigombane kwa ajili ya mwanaume.... Inshallah mimi nakuachia....:A S-cry:
Finally.... :cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2: