Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

hii mada inanihusu sana yan...maana nna miguu mibaya cped kuionyesha...vazi langu kubwa trouser...bt pepla say watu watakuzoea ulivyo..so bora uvae tu sket hata kama unamiguu kama kuni za nyongeza,wa2 watakuzoea hvyo hvyo
 
Jamani muwe mnatofautisha mwanamke anayejiuza kwenye public a.k.a changudoa na mwanamke ambaye wala hawazi kutongozwa wala kuwa na wanaume atembeapo. Kama lengo ni kutongozwa na kupata wanaume basi lazima mhusika atavaa ili aonekane vizuri viungo vyake apate watongozaji ila kama uko na mishe zako huwezi jali utavaa hata trouser yako na kazi zinaenda. Mie skirt na magauni ni kanisani au nikiwa na mitoko ya maana. Nikiwa mtaani kujenga taifa full trouser

Mrembo.
Kuvaa sketi sio kwamba unajiuza au unapendwa utongozwe hapana.!

Popote pale mwanamke akivaa sketi anaonekana anajijali na anajiheshim pia ni mwelewa.

Labda nikuulize kwa nini unapendelea kuvaa sketi kanisani na sio suruali.?
 
Last edited by a moderator:
Jamani muwe mnatofautisha mwanamke anayejiuza kwenye public a.k.a changudoa na mwanamke ambaye wala hawazi kutongozwa wala kuwa na wanaume atembeapo. Kama lengo ni kutongozwa na kupata wanaume basi lazima mhusika atavaa ili aonekane vizuri viungo vyake apate watongozaji ila kama uko na mishe zako huwezi jali utavaa hata trouser yako na kazi zinaenda. Mie skirt na magauni ni kanisani au nikiwa na mitoko ya maana. Nikiwa mtaani kujenga taifa full trouser

Mrembo.
Kuvaa sketi sio kwamba unajiuza au unapendwa utongozwe hapana.!

Popote pale mwanamke akivaa sketi anaonekana anajijali na anajiheshim pia ni mwelewa.

Labda nikuulize kwa nini unapendelea kuvaa sketi kanisani na sio suruali.?
 
Last edited by a moderator:
Huyu mchina huyu manina zake ameleta sketi lainiii,wakivaa hawa wenye nundu kubwa yaani balaa.ila wanavutia
 
hii mada inanihusu sana yan...maana nna miguu mibaya cped kuionyesha...vazi langu kubwa trouser...bt pepla say watu watakuzoea ulivyo..so bora uvae tu sket hata kama unamiguu kama kuni za nyongeza,wa2 watakuzoea hvyo hvyo

kumbe kweliii
 
Kila mtu ana uhuru wa kusema lakini sio kila uchofikiria au kuota siku hiyo ukasema ukidhania kila mtu akubaliane na wewe.
 
siyo kweli coz msichana hata kama amevaa charanga had miguuni kama hana mvuto hana tuu siyo ndo kigezo cha kupendwa.then huja analyse sababu kuna suruali za vitambaa,skin jeans wenyewe wanasema n.k then kuna mini skirt,macharanga n.k so we unaongelea upande upi mkuu.no research no right to talk!

hili swala linategemeana sana na mtazamo na hisia za mwanaume, mimi kwa mfano dada akinivalia sketi bila kujali ya heshima au isiyo ya heshima kwangu ni rahisi sana kunipa mshawasha,! ila ukija na suruali lako tena jeanse hapo hata ungejibana hadi makalio yavilie damu huwezi kunishawishi! afazali kidooogo wanaovaa suruali laini na awe amependelewa kimaumbile labda ntastuka!

alafu nadhani pia ukweli upo kwamba wapo wanaume wengi wanaopendelea wavaa sketi kuliko wavaa suruali wa kike, lakin sio wengi au hakuna kabisa wasiopenda wadada wavaa sketi kama wanavyowapenda wadada wavaa suruali.
 
Hatutaki mtuchungulie tukianguka au tukikaaa.. Tunataka kukaa kwa uhuru na kujiachia..

Min sketi chumbani na mupenzi.. Charanga kanisani..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kila mtu ana uhuru wa kusema lakini sio kila uchofikiria au kuota siku hiyo ukasema ukidhania kila mtu akubaliane na wewe.

pole kuna mtu amekulazimisha usichokipenda.

Hata hivyo ni mtazamo tu wala sio sheria.
 
True wavaa sketi wana mvuto sana ila wapo madenti nao wanavaa sketi wanamvuto pia ila please tuwaache wasome wakuu tuwakemee wanaovizia watoto coz ya uduni wa familia zao kifedha
 
mie mwanamke akivaa suruali my first asumption ni kwamba hana miguu mizuri....mwanamke yoyote yule mwenye miguu mizuri atapendelea kuvaa skirt.

also lazima kiwe na tofauti bwana sasa mke na mume wote trouser ndio nini....vaa kama queen bwana ndio unakuwa mwanamke wa kweli.

We me na miguu mizuri tena sana lakini navaa sana trouser acheni hisia potofu tena most wenye miguu mizuri huwa hawapendi kuonyesha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
We me na miguu mizuri tena sana lakini navaa sana trouser acheni hisia potofu tena most wenye miguu mizuri huwa hawapendi kuonyesha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

mhm...exceptions zipo ila majority of women wanaokuwa na miguu mizuri flaunt theirs...ssa kama wewe unaifungia shauri lako....alafu ebu nitafute basi nipate kuiona
 
Mwanamke alievaa sketi ni rahisi kupendwa kuliko wavaa suruali.

Kwa mwanamke alievaa suruali mwanaume anaumiza hisia nyingi zaidi kuliko mwanamke alievaa sketi.

Mwanamke alievaa suruali anampa maswali mengi sana mwanaume kabla hajamtokea.!!!

Mtazamo wangu uko tofauti kidogo na wako.....mwanamke aliyevaa sketi ndio sikatai havutii, lakini mimi kwangu miguu sio ishu sana...i like curvy girls, nikimuona mwanamke amevaa suruali inamtight kidogo alafu katikati ya papuchi kuna uwazi ,alafu ana hips kidogo, damn!!..ebu fikiria tena kaka.
 
Mwanamke anaevaa suruali huwa hana maadili ya Mungu (kidini) waislamu na wakristo hawaruhusu.Wanaruhusuwa na baadhi ya walokole feki ambao wako kifedha zaidi.Mimi kwangu ktk kutafuta mke hicho pia kilikuwa kigezo pia kwamba mvaa suruali kwangu hana nafasi kwa kuwa hana mvuto.
 
Tatizo siyo sketi au surali.. La muhimu ulishwahi kumnunulia " As a gift " au unapo rudi safarini umemletea zawadi ?
 
Mwanamke alievaa sketi ni rahisi kupendwa kuliko wavaa suruali.

Kwa mwanamke alievaa suruali mwanaume anaumiza hisia nyingi zaidi kuliko mwanamke alievaa sketi.

Mwanamke alievaa suruali anampa maswali mengi sana mwanaume kabla hajamtokea.!!!

Fashion can be bought BUT style one must possess... Skirt au suruali inategemea na mvaaji. Kuna wanawake watapendeza wakivaa suruali wengine hapana, kuna wale watapendeza na skirt, gauni n.k Na kuna wengine hata wakivaa gunia watapendeza tu...Na nadhani mwanamume havutiwi na mmke kwa sababu ya vazi but personality anayoproject as a result of her apperance in that choice of dressing.
 
Back
Top Bottom