Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Mwanamke alievaa sketi ni rahisi kupendwa kuliko wavaa suruali.

Kwa mwanamke alievaa suruali mwanaume anaumiza hisia nyingi zaidi kuliko mwanamke alievaa sketi.

Mwanamke alievaa suruali anampa maswali mengi sana mwanaume kabla hajamtokea.!!!

Pointless.
 
Nimeona wachangiaji wengi wakionekana kuvutiwa na miguu ya wanawake.

SWALI: Uzuri wa miguu uko katika nini? Na ni kwanini miguu huonekana kuwa dili kiasi kwamba wanaojidhania kuwa wanamiguu mibaya wanavaa suruali? What is so special with the so called beautiful legs?

Huwezi vutiwa na mguu wa mwanamke ambao unafanana na mguu wa mwanaume. Well moulded legs has its strong attractive scene to men. Ukitaka kuona miguu ya hovyo fuatailia wanawake Wachaga original... siyo mixer.
 

wewe wasema
kuna tunaomix hayo
mavazi,leo skirt,kesho gauni
pedo,suruali nk,hatuvutii o?
hakuna ukweli wowote hapo!!

wanajidanganya tu wakati sisi ndio tunao wajua, mbona me nikivaa suruali ndio wanajileta nyumanyuma kama nzi wa chooni

unatakiwa kumix bwana ili kubadilisha muonekano sio kila siku sket na wewe, wewe na sket, kila siku ni yuleyule hata ubadiliki mpaka mtaani wakutungie jina wakuite "yule dada mvaa maskirt"
 

hahahaaa!!!!na tukivaa skin jeans
ndio hua wanakoma na sisi,hapa wanaongea
tu!!wanapenda sana!!
 
Hata hii ni skirt... Sijui mtoa mada anamaanisha skirt gani?????

blue-plaid-mini-skirt.jpg

Kweli hata hii ni sketi na amevutia kweli. Mke wangu huwa ananivalia sketi kama hii usiku. Huwa na shoot hadi raundi 4 kwa jinsi anavyonivutia. Sketi zinavutia kweli yaani dah! Mama k huwa ananipandishia juu tu nakula mzigo.
 
Kwangu mvaa surual na siketi za mpasuo(mavazi yasiyo na staha) hata nikipewa bure sichukui,
 
umeonaee! Hawana lolote wanaongopea wenzao humu, tena nikipiga pedo ndio kabisa wanatambaa chini kama nyoka.. he hehe

alaaaaa!!wacha mchezo kabisa
na vitu tight,labda tukivaa wanapata mfadhaiko
na hii ni njia ya kufikisha ujumbe wao hahahaaa!!
 
Sasa unakuta dada ana vigimbi kama mcheza mpira unategemea atavaa sketi ili achekwe. Mf, kuna dada mmoja tulikuwa tunasoma nae chuo huwezi amini kuanzia mwaka w kwanza mpk tunamaliza chuo hakuwahi kuvaa sketi. I wonder yule dada alikuwa anaficha nn?!
 
Naona kikubwa ni umbo la mtu ndivyo atakavyopendeza kwenye sketi au suruali,wanawake wengine wana miguu kama spok za baiskeli au mguu unakigimbi haswaa au unakuta mtu goti jeusiiiii dah surual kidogo inatuficha
 
Naona kikubwa ni umbo la mtu ndivyo atakavyopendeza kwenye sketi au suruali,wanawake wengine wana miguu kama spok za baiskeli au mguu unakigimbi haswaa au unakuta mtu goti jeusiiiii dah surual kidogo inatuficha

sio wote wanao vaa suruali wanaficha miguu yao mibaya wengine tunamiguu mizuri soft na laini lakini tunavaa na kunawengine wanamiguu kama ya joti na wanapiga mini mbaya!
 
sio wote wanao vaa suruali wanaficha miguu yao mibaya wengine tunamiguu mizuri soft na laini lakini tunavaa na kunawengine wanamiguu kama ya joti na wanapiga mini mbaya!
Tatizo n umbo la mguu c wanawake wote wanamiguu ya kuvalia sketi bhana cc ndio waonaji bhana!inaweza ikawa soft ila myemamba yakawa n yale mtu juu tembo chin ccmiz!ila c wote wapo ambao wanapendeza kwenye sketi ya aina yoyote ila wengi suruai zinawatoa maana hata kama miguu spok akiva skin jeans anatoka kama mnene akivaa trouser inayokubaliana na umbo lake anatoka bomba pia
 
Tatizo n umbo la mguu c wanawake wote wanamiguu ya kuvalia sketi bhana cc ndio waonaji bhana!inaweza ikawa soft ila myemamba yakawa n yale mtu juu tembo chin ccmiz!ila c wote wapo ambao wanapendeza kwenye sketi ya aina yoyote ila wengi suruai zinawatoa maana hata kama miguu spok akiva skin jeans anatoka kama mnene akivaa trouser inayokubaliana na umbo lake anatoka bomba pia

kama mtu anajihisi ana umbo baya lazima atakuwa mtumwa wa kuvaa vazi la aina moja tu. Kuvaa suruali sio kamba unaficha ubaya wa miguu, kunawengine miguu yao inamatege kama banio la sufuria na nimembamba mbaya na akivaa skin jeans lazima itaonekana tu lile umbo la miguu yake so atatumia vazi la skirt ndevu ilikuficha ubaya wa miguu yake.
 
Mwanamke alievaa sketi ni rahisi kupendwa kuliko wavaa suruali.

Kwa mwanamke alievaa suruali mwanaume anaumiza hisia nyingi zaidi kuliko mwanamke alievaa sketi.

Mwanamke alievaa suruali anampa maswali mengi sana mwanaume kabla hajamtokea.!!!

Mimi mbona navaa mpaka za chini ya naniliii.......lakini hata psiiiiiiii sipati,......nina mkosi gani mie........
 
Mimi mbona navaa mpaka za chini ya naniliii.......lakini hata psiiiiiiii sipati,......nina mkosi gani mie........
ha!ha!ha! Labda unaumbo la mwanamieleka.!!!
 
Back
Top Bottom