Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
kwapa! loo! we Mzab liwe wazi au?hahha ndio bwana mie ugonjwa wangu ni:
miguu, breasts, long fingers, rangi nyeupe, pua, kwapa na urefu
kwapa! loo! we Mzab liwe wazi au?hahha ndio bwana mie ugonjwa wangu ni:
miguu, breasts, long fingers, rangi nyeupe, pua, kwapa na urefu
Hadi kwapa loh.!!!!!
kwapa! loo! we Mzab liwe wazi au?
mkuu hapa tunaongelea sketi ya kawaida sio kimini.!kwa hiyo hata akivaa mini ma.p.j nje utajiona mwanaume wa kweli?
Wanaume wa kibongo ukivaa sketi wanakutongoza hovyo hadi kero mie most of the time navaa trouser tena zakupwaya usumbufu unapungua ila cku nikivaa sketi natongozwa hadi na mfagizi its so boring
mh unavituko!kwapa lowe clean shaved alafu jeupe yaani kama la kerry hilson lol
mhm sasa unatongwazwa becoz unaoneka u comform to wat we men feel a woman should idealy be dressed.
Wanaume wa kibongo ukivaa sketi wanakutongoza hovyo hadi kero mie most of the time navaa trouser tena zakupwaya usumbufu unapungua ila cku nikivaa sketi natongozwa hadi na mfagizi its so boring
Vipi akivaa sketi.!!Kama huyu..?!View attachment 91979
No wanakuwa wanaiona miguu yangu mizuri na figa matata hivyo wananitamani kingono so kuwazima wakware sketi sivai mara kwa mara
ama kweli ukivaa suruali unapoteza mvuto.
Ukivaa sketi unaonyesha urembo wako.
Kubali sketi ni slaa nzuri kwa mwanamke!
kumbe una figure matata...ebu tutafutane nipate kuenjoy hiyo figure matata
Wote ni ushamba tu wa men wa kibongo binti kuvaa sketi haimaanishi ndo mke mwema,ila ndo malezi walopewa wanaume hawa kuwa mke ni sketi kufua kupika kupiga deki kuzaa na kulea watoto kama mama zao walivyofanya wamesahau hii ni 21 century
ha! ha! ha! Yameshakua hayo.!!Babu weeeh siuzi wala sitoi bure
ha! ha! ha! Yameshakua hayo.!!