Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Ladies Understand your MAMA MKWE..... Its worth it!!!

Vipi akivaa sketi.!!

Kama huyu Serena+Williams+2013+Sony+Open+Tennis+Day+JyDKPKhtmLPx.jpg
 
Wote ni ushamba tu wa men wa kibongo binti kuvaa sketi haimaanishi ndo mke mwema,ila ndo malezi walopewa wanaume hawa kuwa mke ni sketi kufua kupika kupiga deki kuzaa na kulea watoto kama mama zao walivyofanya wamesahau hii ni 21 century

ndio mmepitiliza hadi nguo za chumbani na mumeo mnavaa barabarani? nguo za kuendea disco mnaendea kazini? pumb..

vu zenu nyote mnaovaa vinguo vya kuonyesha mauongo, wengi mnaishia kugegedwa na kugeuzwa nyumba ndogo.mtu unavaa nguo unashindwa kumtofautisha na kahaba wa jolt,kimboka au ambience corner bar au shivars.
 
ndio mmepitiliza hadi nguo za chumbani na mumeo mnavaa barabarani? nguo za kuendea disco mnaendea kazini? pumb..

vu zenu nyote mnaovaa vinguo vya kuonyesha mauongo, wengi mnaishia kugegedwa na kugeuzwa nyumba ndogo.mtu unavaa nguo unashindwa kumtofautisha na kahaba wa jolt,kimboka au ambience corner bar au shivars.

word!!!
 
sketi zina mvuto wake jamani mi nilimpenda mke wangu kwa sket alizokuw anapiga akitupia.na suti nilipagawa sikuitamani tena suruali maana mguu wa bia na sketi vinakwenda sambamba. mbona nilitangaza ndoa fasta...... any way kila mtu na mipigo yake,ila kwangu sketi,vitenge ndio nyumbani

Umenigusa haswa.!!
 
Haha povu la nn?hata hao wa kimboka wanawateja ujue tena wanaume kama wewe
ndio mmepitiliza hadi nguo za chumbani na mumeo mnavaa barabarani? nguo za kuendea disco mnaendea kazini? pumb..

vu zenu nyote mnaovaa vinguo vya kuonyesha mauongo, wengi mnaishia kugegedwa na kugeuzwa nyumba ndogo.mtu unavaa nguo unashindwa kumtofautisha na kahaba wa jolt,kimboka au ambience corner bar au shivars.
 
Skirt inanibamba kwakweli, ninapo kutana na mdaada mwenye skirt urefu wa wastani kama kwenye goti ama chini yake kidogo kulingana naumbo lake, haija mbana kumnyima uhuru hua wananivutia sanaaaaa! Suruali ni more casual haswa majins haya cha kwanza naona ni msela tu, yaani ile picha yakike huchelewa kwa secs kufika.
 
Skirt inanibamba kwakweli, ninapo kutana na mdaada mwenye skirt urefu wa wastani kama kwenye goti ama chini yake kidogo kulingana naumbo lake, haija mbana kumnyima uhuru hua wananivutia sanaaaaa! Suruali ni more casual haswa majins haya cha kwanza naona ni msela tu, yaani ile picha yakike huchelewa kwa secs kufika.

kweli mkuu;
Mwanamke akivaa sketi hata jinsi ya kumwingia unajipanga kwanza kwanza.

Mvaa suruali unawaza liwalo na liwe.!!!
 
mzabzab kuna ukweli kwenye assumption yako, lakini sio kwa wote, wengine ni mapenzi yao tu na fashion ...wana miguu mizuri sana lakini wanapenda kuvaa suruali!

Mi pia huamini wanaopenda kuvaa suruali wanatembelea mikono (miguu myembamba).
 
mie mwanamke akivaa suruali my first asumption ni kwamba hana miguu mizuri....mwanamke yoyote yule mwenye miguu mizuri atapendelea kuvaa skirt.

also lazima kiwe na tofauti bwana sasa mke na mume wote trouser ndio nini....vaa kama queen bwana ndio unakuwa mwanamke wa kweli.

Jamani muwe mnatofautisha mwanamke anayejiuza kwenye public a.k.a changudoa na mwanamke ambaye wala hawazi kutongozwa wala kuwa na wanaume atembeapo. Kama lengo ni kutongozwa na kupata wanaume basi lazima mhusika atavaa ili aonekane vizuri viungo vyake apate watongozaji ila kama uko na mishe zako huwezi jali utavaa hata trouser yako na kazi zinaenda. Mie skirt na magauni ni kanisani au nikiwa na mitoko ya maana. Nikiwa mtaani kujenga taifa full trouser
 
Hata mm huwa cwapendi mademu wavaa suruali mpaka nanilii inaonekana mchoro wake. Hii cyo heshma kwakwel.
 
sketi nzuri tu ya mdada inaleta thamani ya huyo mdada, waje wabishe na kudai haki sawa, bado anayevaa sketi yupo juu tu. Wangelikuwa wanavaa suruali pana tungesema wanastri miili yao, sasa wanaichora jinsi ilivyo hata haipumui. kuongozwa na akili nyingine ni kazi kujitambua.
 
Back
Top Bottom