Ladies only - Win a date with Ngabu

Ladies only - Win a date with Ngabu

kaizer ushamtisha noname imebidi akapate lunch haraka
 
kaizer ushamtisha noname imebidi akapate lunch haraka


hahahaha navomjua Noname sio mtu wa kutishika ki ivyo, actually tunaenda wote ku do ze nidiful:rolleyez:


we saa ngapi au bado asubuhi...
 
noname u seem to know alot about kaizer's hangover ......au ulikuwepo alipoipata? 😀
 
Hapana Gaijin I know Kaizer lakini sikuwepo nae..... i am not much of a party girl...

dont listen to him we are going to have lunch.... u can join us if wish... nothing will happen to u I swear lolllllllllll I should shut up now...
 
Mmh,Kaizer kulikoni jamani?na huku tena,mi application yangu ni kwa mmoja tu haitabadilka kwenda kwa mwingine?by the way vigezo vya Nyani Ngabu ni cheap mno hivyo nisingwezena naye,anazungumzia eti GPA ya 3.0,aargh,anazungumzia mipira aargh!Lakini kubwa zaidi hili Semenya ndio bomba zaidi kwani wewe unaelewa bana,mambo ya He na She at a time..NN ataniweza kweli?

Wanaitwaga shemale!!!
 
Tayari mmeshaiteka mada yangu....mijitu mingine bana!
 
Tayari mmeshaiteka mada yangu....mijitu mingine bana!

Hahahahahaaaa,teh teh tehe tehe,heheheheeee.Jamani mbavu zangu mie.achieni sredi ya mwenzenu jamani.Atakasirika arudi kwa malijendi.yani hamjui hata kukaa na wageni? lol!
 
Na wewe kinuka mkojo unajichekesha chekesha nini hapa? Umezidiwa minyege nini?

teh teh teh teh! hahahahahahahaaaaa.
Kwako wewe hata sijishughulishi kukasirika,Raha najipa mwenyewe.Ningekuwa sikufahamu labda.Kwani unatofauti gani na BWABWA wewe? na inawezekana ndio wewe.
Dah niachie hapa nisijekuwa kama wewe................Nikajishusha hadhi na heshima yangu.Kwa heri ya kuonana.
 
teh teh teh teh! hahahahahahahaaaaa.
Kwako wewe hata sijishughulishi kukasirika,Raha najipa mwenyewe.Ningekuwa sikufahamu labda.Kwani unatofauti gani na BWABWA wewe? na inawezekana ndio wewe.
Dah niachie hapa nisijekuwa kama wewe................Nikajishusha hadhi na heshima yangu.Kwa heri ya kuonana.

Kick rocks and die you garden utensil
 
Nyani Ngabu mpaka sasa bado hujapata kidate tu kweli weye hupendwi hata kidogo ...hahaha ndo maana mtaani kwako hawakuone wadada wote

Laiti ungejua jinsi Inbox yangu ilivyokuwa flooded wala usingesema....nikupe password uingie uone? Yaani hapa mpaka nashindwa nichague yupi nimpige chini yupi....
 
Back
Top Bottom